Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

mkuu hapo kwa red inaweza tokea kweli?
Mkuu kuna penzi na ngono. Ngono huwezi kukosa lakini penzi la kweli muombe sana Mungu akupe wa kufanana nawe lasivyo hata hivyo vipesa vyako vitapeperuka kama upepo.
 
Umejibu vyema mkuu kama ni tetesi sawa, ila kama hakuna ushahidi wa moja kwa moja tunaweza sema kutokureact kunaweza sababishwa na mambo mengi ikiwemo hilo 1.pesa pia, 2. mtu anavyochukulia jambo lenyewe 3. Tukokujiamini kama akiondoka pale atakwenda wapi. 4. Bahati ya kuwa na mtu maarufu 5. Mshininikizo ya wazazi au walezi au yeyote. 6 N.K

wewe kumbe umenielewa vizuri
 
Mkuu kuna penzi na ngono. Ngono huwezi kukosa lakini penzi la kweli muombe sana Mungu akupe wa kufanana nawe lasivyo hata hivyo vipesa vyako vitapeperuka kama upepo.

exactly mkuu, hapa sina cha kuongezea

ila umenichekesha kwa like yako hapa #11
 
hapo umeniangusha buraza, yaan ulikuwa hujui hilo!!!!!!! watakucheka watu!..
 
pesa pesa pesa lkn mwisho wa siku hizi huwa ndizo silaha ya maangamizi ya familia nyngi tunazozijua.
kwangu mimi pesa kama pesa sio priority mbele ya penzi.
 
ya kwangu nimeishamaliza mkuu ndo maana nashupalia ya wengine!
Mkuu umenivunja mbavu mpaka nikakosa la kusema ikabidi ni-like tu.

Umenikumbusha kuna siku moja Konda mmoja alianza kupiga pig asarafu zake ili abiria waanze kufungua pochi zao. Konda alinzia kwa baba mmoja kwa muonekano tu alionesha asubuhi hiyo haikuwa kwake, akamjibu konda nitakupa. Konda akaendelea kwa wengine baadaye akamrudia tena mzee yule bado akawa mkali huku akisema nitakupa.

Konda akamsihi bora tumalizane kabisa isije kuwa utata hapo baadaye, yule mzee akamtukana konda tusi la Mse.ge. Kinyume na matarajio ya wengi kutaibuka varangati, yule konda akamjibu yule Baba, Ms.ge ni kiwanda cha viatu Italy. Acha watu tucheke mpaka mbavu zikauma.
 
Mkuu umenivunja mbavu mpaka nikakosa la kusema ikabidi ni-like tu.

Umenikumbusha kuna siku moja Konda mmoja alianza kupiga pig asarafu zake ili abiria waanze kufungua pochi zao. Konda alinzia kwa baba mmoja kwa muonekano tu alionesha asubuhi hiyo haikuwa kwake, akamjibu konda nitakupa. Konda akaendelea kwa wengine baadaye akamrudia tena mzee yule bado akawa mkali huku akisema nitakupa.

Konda akamsihi bora tumalizane kabisa isije kuwa utata hapo baadaye, yule mzee akamtukana konda tusi la Mse.ge. Kinyume na matarajio ya wengi kutaibuka varangati, yule konda akamjibu yule Baba, Ms.ge ni kiwanda cha viatu Italy. Acha watu tucheke mpaka mbavu zikauma.

aaaaaaha! mi mwenyewe nimecheka sana nilipofika hapo kwa red, teh teh teh!!!
 
pesa pesa pesa lkn mwisho wa siku hizi huwa ndizo silaha ya maangamizi ya familia nyngi tunazozijua.
kwangu mimi pesa kama pesa sio priority mbele ya penzi.

unajua sista, kwa nyie wanawake ni rahisi sana kwa hiki unachokisema kwa sababu sisi ndo tunawa-approach, ila kwa wanaume ni complicated issue. Kifupi ni ngumu kutambua kama huyu niliyenaye ananipenda kwa sababu ya fuba. Imagine mkaka mwenye hela zake tayari, anatafuta mchumba/mke, whatever. Kumbuka sisi wanaume first impression yetu ni appearance, so akishamuona anayelipa machoni mwake anaanza kumfuatilia hadi amnase. Shida sasa hatajua kama huyo demu kampendea pesa (if that was her motive anyway).

Ndo maana kuna comments humu JF zinasema ukitaka kumjua vizuri mkeo uishiwe pesa. So my argument in this post ni kwamba why should you wait to run bankrupt? why don't you struggle to maintain your financial status so that you don't taste the -ve side of your wife!!! Actually hii ndo bottomline ya my take yangu kwenye post.
 
Jamani hii statement 'pesa ndo kila kitu' inajihidhirisha wazi wazi kwenye maisha yetu ya kila siku, nimekumbuka tukio moja la hivi karibunii ndo nikaikumbuka tena hii statement.

Tukio lenyewe ni ile skendo ya daidomo na uyowa, nilichoshangaa baada ya skendo ile sikusikia reaction yoyote toka kwa peni, itakumbukwa ndo kwanza alikuwa aingia kwenye mahaba motomoto na daidomo lakini jamaa bila aibu akamsaliti live tena within such short period of their relationship.

My take: mapenzi na pesa haviwezi kutenganishwa, hivyo ipo haja ya kuhamasisha vijana wa kiume kusakanya pesa kwa udi na uvumba ili ku-sustain relationships zao, iwe ndoa au urafiki to wa boyfriend na girlfriend, vinginevyo relationships zao zintakuwa majangaaa!! Am I right??????

Haya ni maneno yangu:
Mwanamke asije kwangu kwa sababu ya hela

Wanaofanya hivyo ni makahaba

Mwanamke anaejiheshimu hawezi kumkubali mwanaume kwa sababu ya hela,huko ni kujiuza

Mwanamke anaejitambua hawezi kufanya haya

Nawaambieni,mwanamke yeyote yule atakae fuata hela kwa mwanaume mwisho wa siku huzikimbia

Binadamu ni zaidi ya hela

Mahusiano na mapenzi ni zaidi ya hela!!!!!!!!
 
Haya ni maneno yangu:
Mwanamke asije kwangu kwa sababu ya hela

Wanaofanya hivyo ni makahaba

Mwanamke anaejiheshimu hawezi kumkubali mwanaume kwa sababu ya hela,huko ni kujiuza

Mwanamke anaejitambua hawezi kufanya haya

Nawaambieni,mwanamke yeyote yule atakae fuata hela kwa mwanaume mwisho wa siku huzikimbia

Binadamu ni zaidi ya hela

Mahusiano na mapenzi ni zaidi ya hela!!!!!!!!

Mkuu kuongea hivi ulivyoongea ni rahisi sana, shida ni how to put these into real life practices. Hebu soma comment yangu namba #26 nimejaribu kuahinisha kidogo ugumu wa hii issue hasa kwa wanaume
 
Ulimbukeni fanya kazi kwa bidii basi sio eti sababu ya penzi uliona wapi penzi la kweli likinunuliwa kama sio kutafuta dhahama.mnajidanganya sana nyie.

Chauro, naomba unipe bure leo na kesho, halafu turudie tena wiki ijao na katikati ya mwezi ujao, nipe nafasi please, but bure.
 
Mkuu kuongea hivi ulivyoongea ni rahisi sana, shida ni how to put these into real life practices. Hebu soma comment yangu namba #26 nimejaribu kuahinisha kidogo ugumu wa hii issue hasa kwa wanaume

Kushindwa kuyaweka mambo kwenye real life ni suala jingine na kusema jambo la kweli ni suala lingine

Mimi nimekuambia kitu ambacho ninakifanya kama kuna mtu anashindwa shauri yake

Lakini ukweli utabaki pale pale hata kama watu wameshindwa kuufanya!!!!!!!
 
yani huo nii ulimbukeni tu wa mtu mwenyewe mapenzi huwa hayanunuliwa hata kwa shilingi moja ni upendo wa agape tu kati ya mtu na mtu yaani jinsia ingine bassiii hakuna kingine hapo
Jamani hii statement 'pesa ndo kila kitu' inajihidhirisha wazi wazi kwenye maisha yetu ya kila siku, nimekumbuka tukio moja la hivi karibunii ndo nikaikumbuka tena hii statement.

Tukio lenyewe ni ile skendo ya daidomo na uyowa, nilichoshangaa baada ya skendo ile sikusikia reaction yoyote toka kwa peni, itakumbukwa ndo kwanza alikuwa aingia kwenye mahaba motomoto na daidomo lakini jamaa bila aibu akamsaliti live tena within such short period of their relationship.

My take: mapenzi na pesa haviwezi kutenganishwa, hivyo ipo haja ya kuhamasisha vijana wa kiume kusakanya pesa kwa udi na uvumba ili ku-sustain relationships zao, iwe ndoa au urafiki to wa boyfriend na girlfriend, vinginevyo relationships zao zintakuwa majangaaa!! Am I right??????
 
mkuu hapo kwa red inaweza tokea kweli?

Kaka unaweza kukosa mpenzi wa kweli na ukaishia kupata sex partners na ukadhani ndio penzi lenyewe ukisha kuwa na PESA tofautisha na hela ya matumizi!!!Game inabadilika utakutana na wenye pesa wenzako ambao hawajali kitu kinaitwa mapenzi wao wanataka hapiness na freedom baas!!!

Angalia mifano ya masuperstar wengi achana na hawa wa hapa kwetu "camera popular" wengi wanashindwana!!!!

Omba upate mpenzi akukubali ulivyo halafu ndo mpunga uchanue,hapo ni kuandika wishes na kuanza kutimiza tuu!!!!
 
Back
Top Bottom