Jamani hii statement 'pesa ndo kila kitu' inajihidhirisha wazi wazi kwenye maisha yetu ya kila siku, nimekumbuka tukio moja la hivi karibunii ndo nikaikumbuka tena hii statement.
Tukio lenyewe ni ile skendo ya daidomo na uyowa, nilichoshangaa baada ya skendo ile sikusikia reaction yoyote toka kwa peni, itakumbukwa ndo kwanza alikuwa aingia kwenye mahaba motomoto na daidomo lakini jamaa bila aibu akamsaliti live tena within such short period of their relationship.
My take: mapenzi na pesa haviwezi kutenganishwa, hivyo ipo haja ya kuhamasisha vijana wa kiume kusakanya pesa kwa udi na uvumba ili ku-sustain relationships zao, iwe ndoa au urafiki to wa boyfriend na girlfriend, vinginevyo relationships zao zintakuwa majangaaa!! Am I right??????