Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

mi mwenyewe naamini hivyo, bila pesa kumaintain relationship ni ngumu
 
Sipendezwi kumuona mwanaume ambaye awezi kujilisha yeye mwenyewe anatafuta msichana kwa ajili ya kuanzisha mahusiano.
Anamtaka msichana awe mpenzi wake lakini hana pesa.
Nashauri, ni vyema mtu ambaye hana pesa awe busy kutafutae pesa kwanza ili ku add his value na kuacha kuwa a romantic nuisance.
Gari hili litaoa gari lile, na Nyumba hii itaoa Nyumba ile,...Vijana Fungeni Mikandaaaa
 
wana MMU habarini? nimesoma post nyingi sana za wadada humu naona kweli walio wengi wanapenda wanaume wenye pesa tena nyingi. Najiuliza maswali mengi na ninakosa majibu pesa nyingi call it Richness as Lara1 puts it, ni kiasi gani? uwezo wa kununu gari? kujenga nyumba? kusustain maisha ya kila siku kula, kuvaa na pa kulala? mi naomba nieleweshwe. Since mi nikiwaza hela haziji siku moja, kwa nini ninyi mnapenda ready made? halafu hizo pesa nyingi zinakula nini? maana kama ni nyama au kuku au sausages, hauhitaji pesa nyingi sana kuviafford. Kama ni nguo unataka ununue ya milioni? maana nguo pia sio hela nyingi kihivyo.
My take: be serious with a relationship, mali zinakujaza tena siyo ghafla, ni polepole. halafu wewe pia una mikono miwili kama mwanaume unaweza tu kuchangia familia yenu kunyanyuka kiuchumi, stop wanting vitu vya dezo. na pesa ni pesa tu, regardless iko ngapi, na ikitafutwa kihalali, inakujaga tena yenye amani na upendo.
 
pesa ndio inayoleta macare bana, we mbeibe wako ukamtwanga na harrier au japo kivitz huoni umepalilia penzi hapo? lol. utacare vipi kama huna pesa.... tehe teh
 
akitaka kwenda msasani city mall kwa shopping asijiulize mara 2 that is the point for needing richmen.. kama huna chambichambi kaa pembeni tu..
 
pesa ya muhimu kweny mapenzi wewee... hata kweny masuala ya ugonjwa mpenz wako atahitaj hospitali nzur, wewe kama hauna pesa jipange 2 na ungekuwa na pesa hata usingeongea....
 
wana MMU habarini? nimesoma post nyingi sana za wadada humu naona kweli walio wengi wanapenda wanaume wenye pesa tena nyingi. Najiuliza maswali mengi na ninakosa majibu pesa nyingi call it Richness as Lara1 puts it, ni kiasi gani? uwezo wa kununu gari? kujenga nyumba? kusustain maisha ya kila siku kula, kuvaa na pa kulala? mi naomba nieleweshwe. Since mi nikiwaza hela haziji siku moja, kwa nini ninyi mnapenda ready made? halafu hizo pesa nyingi zinakula nini? maana kama ni nyama au kuku au sausages, hauhitaji pesa nyingi sana kuviafford. Kama ni nguo unataka ununue ya milioni? maana nguo pia sio hela nyingi kihivyo.
My take: be serious with a relationship, mali zinakujaza tena siyo ghafla, ni polepole. halafu wewe pia una mikono miwili kama mwanaume unaweza tu kuchangia familia yenu kunyanyuka kiuchumi, stop wanting vitu vya dezo. na pesa ni pesa tu, regardless iko ngapi, na ikitafutwa kihalali, inakujaga tena yenye amani na upendo.

kingreza hiki jamani.......,

we royna tafuta pesa onhooo,hizo nyingine zote ni porojo tu....,
 
Last edited by a moderator:
royna ulichokisema kina ukweli ndani yake nami naomba nitoe hoja yangu kama ifuatavyo,

Pesa katika mapenzi ina sehemu ndogo tu ambayo ni kuwawezesha wapenzi kuafford maisha yao ya kila siku kama nguo,chakula ,malazi(basic human needs) na mambo mengine madogo madogo kama vile suprises za outings na vijizawadi zawadi ili kulitilia chumvi penzi lenu,na kama ulivyosema pesa halali huja yenyewe na kwa taratibu wala haihitaji haraka,na mara nyingi utajiri mwingi huja mara baada ya mwanaume kupata mwenzi mwerevu ambaye anaweza kumsaidia kutumia pesa vizuri na kusave na ndio maana kuna usemi usemao "BEHIND A SUCCEFUL MAN THERE IS A WOMAN BEHIND",usemi huu sio uzushi tu ni socially proved as mwanamke sikuzote amekuwa mtu ambaye hufikiria sana feature wakati wanaume ni watu wanaoangalia sana ya leo na feature haiwachukulii muda wao mwingi.


Angalizo kwa akina dada:Ukikuta mwanaume anaishi peke yake bila mke lakini amejikamilishia kila kitu ndani ana nyumba nzuri,gari,set nzuri ya vitu ndani mwake na vinginevyo vya thamani,shtuka washa taa nyekundu kichwani huo ni moto :A S-fire1: :A S-fire1: :A S-fire1: lazima atakuwa amewahi kuoa na kuacha na mke aliyemwacha ndiye aliyesaidia sana kufanya huyo mume akaitwa rich man,kwa hiyo hata wewe ujue kuwa iko siku utaviacha hivo vitu na mweznio mwingine atakuja na kuona amepata mwanaume tajiri.

Angalizo:simaanishi wanaume wote ambao hawajaoa hawana akili ya maisha,ila kiuhalisia ni one among twenty.

Swali kwa akina dada kama ungependa sana kuishi maisha mazuri kwa nini umtegemee mwanaume?kwa nini angalau usijitahidi sana na wewe pia uje uitwe rich woman kwa maarifa yako mwenyewe?ipi inaleta raha kuitwa a wife of a rich man au a rich woman


Jamani niko tayari kukosolewa kwa hoja niliyoitoa.


copy wadada wa jf including Heaven on earth mrs grafani11 Munkari Lady doctor mimisa,@Lara1 kubwa la maadui Richwoman sister.
 
Last edited by a moderator:
But kiukweli hela za kupewa always binafsi huwa naona hazitoshelezi hata iwe milioni na sioni haja ya kuwa tegemezi 100% kwa mwanaume juu ya pesa as long as nina uwezo wa kuzitafuta na kujipatia mahitaji yangu binafsi looh mipesa yako kaanayo au kanywee mibia yako! Ukijiskia nipe hujiskii piga kimya but ole wako nkuombe useme huna hutaskia neno my sweety darling or beby utaishia kuitwa we baba key wee au festoo na visa kibao teh!
 
Back to sie ma rich man tuwe makin na madada zetu hawa wa siku hizi hasa linapokuja suala la kutafuta mwenzi wa maisha..Wengi wanapenda ulichonacho na hawakupendi wewe mwenyenacho.Wanawake wa siku hizi ni mabepari hawana mapenzi ya kudumu bali wana maslahi ya kudumu,Mgodi ukiisha tu huwaoni so tuwe makin.ukikutana na mtu wa hivyo we mgegede tu achana naye.Ni kweli pesa inathaman ktk mahusiano lakini sio kigezo.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
wana MMU habarini? nimesoma post nyingi sana za wadada humu naona kweli walio wengi wanapenda wanaume wenye pesa tena nyingi. Najiuliza maswali mengi na ninakosa majibu pesa nyingi call it Richness as Lara1 puts it, ni kiasi gani? uwezo wa kununu gari? kujenga nyumba? kusustain maisha ya kila siku kula, kuvaa na pa kulala? mi naomba nieleweshwe. Since mi nikiwaza hela haziji siku moja, kwa nini ninyi mnapenda ready made? halafu hizo pesa nyingi zinakula nini? maana kama ni nyama au kuku au sausages, hauhitaji pesa nyingi sana kuviafford. Kama ni nguo unataka ununue ya milioni? maana nguo pia sio hela nyingi kihivyo.
My take: be serious with a relationship, mali zinakujaza tena siyo ghafla, ni polepole. halafu wewe pia una mikono miwili kama mwanaume unaweza tu kuchangia familia yenu kunyanyuka kiuchumi, stop wanting vitu vya dezo. na pesa ni pesa tu, regardless iko ngapi, na ikitafutwa kihalali, inakujaga tena yenye amani na upendo.
aiii eti tutafute mali pamoja afu tukitoka kimaisha uanze kunidharau wengine huthubutu kuwaletea wake zao wanawake adi nymbn kwao kitu READY MADE bwana ata ukileta madharau haiumi zaidi nikiona yanazidi najisepesha
 
Mnatunyanyasa tu kwani Mwenyezimungu alipoumba mapenzi aliumba na hela?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom