NyotaMalaika c mnataka blackberry na Vitz, keep your eyes wide open
dogo peleka ushoga wako huko huko.
Nilisha kuambia ukiwa wewe mgonjwa, sio wote wagonjwa :biggrin1:Hivi ulimaliza dozi ya yale maradhi yako?
mama angu huniambia kila siku, mwanagu tafuta pesa kwanza sasa ivi achana na wanawake, ukizipata watakuja tu wenyewe tena wa kila aina, uwa simuelewi, ila sasa nagundua pesa ndo kila kitu especially when comes to women
nakubaliana na wewe, mabinti wote ambao hawauthamini utu wao wala kujali heshima ya mwili wao wananunulika na kusaliti wapenzi wao kirahisi tu kwa pesa! Na wenye pesa nao huambulia mwanamke yeyote yule aliyetanguliza pesa mbele kuliko heshima wala upendo kwa huyo mtu na hivyo kuendeleza mapenzi fake! fake fake fake inatawala mpaka mwisho ....