Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Just...choke ma money..... I dont care!
 
pesa inaongea si mchezo, na hao wanawake wenye kuzipenda pesa, wako tayari kukupa unacho kitaka ili uwape pesa :biggrin1:

unachokitaka! Unamaanisha nini ndugu?
 
Mi mbina napendwa bila ..........wakati sina kitu...hau manzi hajapata wenye nazo nini?
 
Nshashuhudia mabinti wengi wakisaliti wapenzi wao kwa kuhongwa........... pesa,simu,gari...nk! I thnk money is all they want.

nakubaliana na wewe, mabinti wote ambao hawauthamini utu wao wala kujali heshima ya mwili wao wananunulika na kusaliti wapenzi wao kirahisi tu kwa pesa! Na wenye pesa nao huambulia mwanamke yeyote yule aliyetanguliza pesa mbele kuliko heshima wala upendo kwa huyo mtu na hivyo kuendeleza mapenzi fake! fake fake fake inatawala mpaka mwisho ....
 
Nshashuhudia mabinti wengi wakisaliti wapenzi wao kwa kuhongwa........... pesa,simu,gari...nk! I thnk money is all they want.

Sio kwa mabinti tu, Uli alikwenda kuongea kutatua mgomo usiku bar. Umejiuliza kwanini?

Matamanio na kutokujiamini kunachangia hii hali na si kwa mabinti tu hata wanaume wengi huingia kwenye mtego na kufanya mambo ya usaliti, wizi, ujambazi kwa ajili waonekane na wao wanazo. hawajui kuwa mbora kati yetu ni yule mcha mungu na si mwenye fedha au mali pekee.
 
Sio kwa mabinti tu, Uli alikwenda kuongea kutatua mgomo usiku bar. Umejiuliza kwanini?

Matamanio na kutokujiamini kunachangia hii hIali na si kwa mabinti tu hata wanaume wengi huingia kwenye mtego na kufanya mambo ya usaliti, wizi, ujambazi kwa ajili waonekane na wao wanazo. hawajui kuwa mbora kati yetu ni yule mcha mungu na si mwenye si mwenye fedha au mali pekee.
Mambo ya Uli yameingiaje hapa? Mbona unapenda kudandia gari kwa mbele? Siku utakuja kudandia vilivyosimama ndo utajua kudandiadandia sio kuzuri!
 
Mambo ya Uli yameingiaje hapa? Mbona unapenda kudandia gari kwa mbele? Siku utakuja kudandia vilivyosimama ndo utajua kudandiadandia sio kuzuri!

Soma vizuri halafu utaelewa alifata nini bar usiku.
 
cku hz pesa kwenye mapenz ngoma droo si wakaka wala wadada

si juzi kati tu hapa kuna mwanajamvi alikuwa anatafuta jimama la kumlea?????
 
cku hz pesa kwenye mapenz ngoma droo si wakaka wala wadada

si juzi kati tu hapa kuna mwanajamvi alikuwa anatafuta jimama la kumlea?????


can someone edit your life while broke?
 
Siku hizi mwanaume asiye na pesa wanawake husema eti ana kasoro..........................LOL
 
Back
Top Bottom