Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Co siri mapenz kwa wanawake asa hv ni pesa 2 ndo utapata mapenz ya kweli kama ww kabwela kama mm aisee bora single boy kama hupendi kuumizwa kimapenzi kama mchizi flani hv jins anavyompenda dem wake imebidi amwache huru afanye mambo yake lkn waendelee na mahusiano inauma sana kwa makabwela

Sio kweli... Watu tuko tofauti usituweke wanawake wote kwenye hilo group..Wengine tunaangalia mapenzi ya dhati na sio pesa ndugu yangu!
 
Sio kweli... Watu tuko tofauti usituweke wanawake wote kwenye hilo group..Wengine tunaangalia mapenzi ya dhati na sio pesa ndugu yangu!

wakati nauweka huu uzi nlijua comments kama hizi zitakuepo bt nimeki Xpirience hichi kitu kutoka kwa washkaji wangu weng leo unanikubal kesho akitokea mwenye ka mkoko na vi out vidogo vidogo unanisahau mara unajifanya uko busy sana cm haupokei ukipokea vizingizio vingi ooh nlikua nimelala jamaa akiamua kusitisha mapenz wala hakuna pingamizi mbona tunawaelewa tabia zenu
 
Unalosema ni la kweli kwa ma gf tu lakini sidhani ukioa bado litakuwepo ilo tatizo. Mke hawezi acha watoto kirahisi.
 
Co siri mapenz kwa wanawake asa hv ni pesa 2 ndo utapata mapenz ya kweli kama ww kabwela kama mm aisee bora single boy kama hupendi kuumizwa kimapenzi kama mchizi flani hv jins anavyompenda dem wake imebidi amwache huru afanye mambo yake lkn waendelee na mahusiano inauma sana kwa makabwela
unamaanisha nini hapo kwenye bold?
 
Kama mmeshajua hivyo zitafuteni sasa hizo pesa..
 
Kama mmeshajua hivyo zitafuteni sasa hizo pesa..

Kwa upande nazitafuta mbaya lakin ole wenu nikizipata wenye tamaa mbaya yapesa mtapata shida sana mpaka mtawachukia wenye pesa na kuwakumbuka makabwela
 
kaka u r right, wanawake wengi ni wanafiki sana..mie nlishawahi kuambiwa 'why do u think rich men are famous'? baada ya kuskia hivo nikarudisha majeshi kutoka frontline taratibu..nkisikia mwanamke amemegwa na kutelekezwa huwaga nachekea tumboni tu, that serves them right..ndo wanapenda mteremko ila wanasahau kua wenye pesa ni wachache hivo lazima wapangwe kwa sana.
 
sasa kama unaelewa hayo kwa nini usiongeze bidii kuzipata??
au rudi kasome.
 
nimemaanisha alimwacha aendelee na mahusiano nje ya mshikaji mwenye pesa ili kuokoa penz lao lisivunjike coz mchizi akijidai kumind sln ya dem kama vp tuachane
kwa nini asimuache huyo dada? Huoni kwamba yupo nae ili kujidai au kwa vile anapesa/ ni mzuri.. sielewi kwa nini asitafute kabwela mwenzie kama anahitaji penzi AU aongeze bidii kusaka pesa, kuruhusu mpenzi aende nje ni kwamba huyo kaka anataka vya dezo. hana tofauti na hao wadada anaowasema hawana mapenzi ya dhati
 
wakati nauweka huu uzi nlijua comments kama hizi zitakuepo bt nimeki Xpirience hichi kitu kutoka kwa washkaji wangu weng leo unanikubal kesho akitokea mwenye ka mkoko na vi out vidogo vidogo unanisahau mara unajifanya uko busy sana cm haupokei ukipokea vizingizio vingi ooh nlikua nimelala jamaa akiamua kusitisha mapenz wala hakuna pingamizi mbona tunawaelewa tabia zenu

Andika kiswahili kizuri bila vifupisho visivyofahamika na wengi,unaonekana kama mhuni wa mtaani umevamia JF.
 
Sasa kama nyie wenyewe mnataka vidude tu kwanini na wanawake nao wasitake pesa??!
Ukionesha tamaa za kimwili lazima nawe ukamuliwe.
 
Nshashuhudia mabinti wengi wakisaliti wapenzi wao kwa kuhongwa........... pesa,simu,gari...nk! I thnk money is all they want.
 
Wanasemaga eti,mwanaume bila hela ni sawa na gari bila matairi!
 
Pesa inaongea si mchezo, na hao wanawake wenye kuzipenda pesa, wako tayari kukupa unacho kitaka ili uwape pesa :biggrin1:
 
Pesa inaongea si mchezo, na hao wanawake wenye kuzipenda pesa, wako tayari kukupa unacho kitaka ili uwape pesa :biggrin1:

Muda wa swala huu,unafanya nini humu?
 
Back
Top Bottom