ndo maana nakupenda matola wewe ni mkweli daima... heri umwambie bwanaKatika Biblia kuna kitabu cha Mithali hekima za Mfalme Suleiman, tangu nilipokutana na aya inayosema PESA NI SULUHISHO LA YOTE" basi na asitokee mtu wa kunishawishi kwamba pesa siyo muhimu.
Sasa hivi hata Makanisani anayewezesha michango na sadaka mbalimbali kanisani ndiyo anaheshimika zaidi na kiongozi wa kanisa husika.
Hizi ngonjera za pesa si muhimu katika mapenzi ni ngonjera za watu waliopigiga na uchumi huu wa Mkwerre, otherwise Mwanamke hata kama anakuzidi kipato lakini kuna maeneo lazima uoneshe uwanaume wako kwa kucover Financial support na hapo ndipo heshima inapoweza kuwepo.
yaani umenichekeshaje nimeposti naona na hii commet yako ... ahahaaa kweli mmenichoka jf aisee ngoja niende likizo ....
Katika Biblia kuna kitabu cha Mithali hekima za Mfalme Suleiman, tangu nilipokutana na aya inayosema PESA NI SULUHISHO LA YOTE" basi na asitokee mtu wa kunishawishi kwamba pesa siyo muhimu.
Sasa hivi hata Makanisani anayewezesha michango na sadaka mbalimbali kanisani ndiyo anaheshimika zaidi na kiongozi wa kanisa husika.
Hizi ngonjera za pesa si muhimu katika mapenzi ni ngonjera za watu waliopigiga na uchumi huu wa Mkwerre, otherwise Mwanamke hata kama anakuzidi kipato lakini kuna maeneo lazima uoneshe uwanaume wako kwa kucover Financial support na hapo ndipo heshima inapoweza kuwepo.
Nina mda mrefu juu hii mada mademu wengi unapokutana nao mara ya kwanza hujifanya wako cool but kadri siku zinavyokwenda hufungua makucha na wengi ni uroho wa pesa bila kujali kipato chako nimemtafuta mwenye fikra za tofauti za kimaendeleo naona natafuta barafu jangwani hey girls badiliken pesa ni vitu vya kupita but sio zikosekane kabisa na nyie mjitume!
Nina mda mrefu juu hii mada mademu wengi unapokutana nao mara ya kwanza hujifanya wako cool but kadri siku zinavyokwenda hufungua makucha na wengi ni uroho wa pesa bila kujali kipato chako nimemtafuta mwenye fikra za tofauti za kimaendeleo naona natafuta barafu jangwani hey girls badiliken pesa ni vitu vya kupita but sio zikosekane kabisa na nyie mjitume!
huwez tenganisha mapenzi na pesa....hata kukaa tu bar na mupenzi huku mkipata FANTA yahitaji pesa!!!!!
utawajua tu wapenda hela..
Nina mda mrefu juu hii mada mademu wengi unapokutana nao mara ya kwanza hujifanya wako cool but kadri siku zinavyokwenda hufungua makucha na wengi ni uroho wa pesa bila kujali kipato chako nimemtafuta mwenye fikra za tofauti za kimaendeleo naona natafuta barafu jangwani hey girls badiliken pesa ni vitu vya kupita but sio zikosekane kabisa na nyie mjitume!