Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Hata yesu alisalitiwa kwa masualahayo hayo ya pesa.
Binti akimwambia mzazi wake nimepata 'mchumba' swali la kwanza kuulizwa ni "ANAKAZI GANI?" hiyo yote ni pesa.
Bila pesa au kutoka kwenye familia bora,huwezi kumwoa mtoto wa kigogo Masaki.
 
Hata yesu alisalitiwa kwa masualahayo hayo ya pesa.
Binti akimwambia mzazi wake nimepata 'mchumba' swali la kwanza kuulizwa ni "ANAKAZI GANI?" hiyo yote ni pesa.
Bila pesa au kutoka kwenye familia bora,huwezi kumwoa mtoto wa kigogo Masaki.

...wewe ukiwa na dada yako au mdogo wako upo tayari aolewe na mtu ambaya hana kazi au mpiga debe kwa vile eti dada ako huyo amempenda huyo mtu kupita maelezo.
 
kigoma mwisho reli ni TUNGO TATA KWANGU! HEBU NAOMBA DADA VUA KIDOGO,
ILA PESA KATIKA MAPENZI INA NAFASI YAKE, MIMI NIKIWA NA BASKELI MOJA ALAFU YA SERIKALI SISTA DUU ALIYEZOEA WATOTO WA GETI ALIYENIPENDA NIKIWA NAZO ATAKIMBIA...!
 
Hivi kuna utofauti gani kati ya 'mwanaume mwenye miaka 40 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 20' na 'mwanaume mwenye miaka 20 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 40'?????
 
Hivi kuna utofauti gani kati ya 'mwanaume mwenye miaka 40 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 20' na 'mwanaume mwenye miaka 20 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 40'?????

...tofauti ni namba tu hizo...tabia, hulka, sifa na uzoefu kila mtu na zake!
 
Hivi kuna utofauti gani kati ya 'mwanaume mwenye miaka 40 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 20' na 'mwanaume mwenye miaka 20 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 40'?????

wanawake wa siku hizi wanaangalia maisha bora....hata kama una miaka sabini na yeye ana ishirini.....

kama yeye ndo mkubwa....anachojali zaidi ni heshima.....
uende nae kiheshima sio kihuni huni....
 
Nadhani sasa hivi watu hawaangalii sana Age bali ni heshima tu,ila miaka ni namba tu mkubwa......Nadhani kuna baadhi ya wengine wanajali pia kwenye maswala ya age!
 
Mapenzi hayaendani na umri, ila inapendeza zaidi mwanaume awe mkubwa kwa mwanamke.
 
Kama kuna gap kubwa sana kama hiyo hapo hakuna peace of mind na itakuwa ni kwa sababu za kiuchumi. Mdada akiwa mdogo baba atashuku mwenzake ana cheat na vijana wenzie au dada atakuwa hana raha kwani atashindwa kucheza kama angekuwa na mtu wa umri wake. Mapenzi ni pamoja na kuchangia interests na hobbies. Mdada anataka disco baba anataka kwenda kwenye mahotel makubwa kwa meal out.

Baba akiwa mdogo hata enjoy as well kwani atataka awe anaongozana na mtu wa umri sawa ili hata kwenye kundi la marafiki zake afit mfano anataka ajirushe na bongo flavor mama anawaza pension inakaribia. In general ingawaje watu wanaona inawezekana lakini in reality one of them is suffering all the time. Kijana anataka azae mtoto huyu mama ameshaingia kwenye kundi la watu wanaoangalia risk involved kutunga mimba. IT DOESN'T WORK!!!
 
maisha bora kwa kila mtanzania ..
ila sometimez kuna utofauti cause hivi vi young age mala kinatamani kwenda Ngwasuma mwenzie anawaza bakurutu ,
 
umri una nafasi yake!na mara nyingi mwanaume anapaswa kuwa mkubwa.
mwanamke katika mapenzi huwa anahitaji SECURITY IN ALL ASPECTS!akizidiwa umri somehow she feels secured
 
Inategemea wahusika walikuwa na agenda ipi na ngapi vichwani mwao walipoingia kwenye uhusiano.

1.Kuna watu umri wao si rahisi sana kuonekana na hii inawawezesha kupendwa hata na wale ambao wana umri mdogo.Hawa kwa kweli wanaweza kuendelea tu na mapenzi maana huenda ni penzi la kweli lisilo na agenda mbaya.

2.Kuna wanaoonekana kabisa kuwa umri umeshasogea lakini bado wanajikuta "kupendwa" na wenye umri mdogo. Hawa lazima wajiulize maswali magumu kwanini bado wanang'ang'aniwa?

3.Kwa wenye kujikuta kwenye hali hii kimahusiano, wajaribu kufikiria mbali zaidi ya leo.Wajiulize je, miaka kumi kuanzia leo bado nitajisikia nampenda huyu mtu au interest zitabadilika? Je nitakuwa comfortable naye mbele ya wenzangu? Je interests zitakavyozidi kuachana nitafanya nini? Nitachukulia umri mkubwa ndio sababu ya kumfanyia kinyume na hasa hili hufanywa sana na akina kaka ambao hawaishi kusingizia mara ohh mwanamke hazai, mwanamke alinirubuni nk.

4.Kadhalika akina dada/mama wenye umri mkubwa wajiulize itakapotokea natolewa visababu kama hivi nitafanya nini?Nina kifua cha kuvumilia kejeli na kebehi kama hizi?

5.Mwisho wa siku uamuzi utakuwa wa mhusika.
 
maisha bora kwa kila mtanzania ..
ila sometimez kuna utofauti cause hivi vi young age mala kinatamani kwenda Ngwasuma mwenzie anawaza bakurutu ,

Mi wife kanikandamiza na miaka 8 na maisha yanasonga mbele kama kawa. Nikitaka kwenda Ngwasuma ananisindikiza na akienda Bakulutu nampa kampani. Ila taarab ndio huwa hapati kampani yangu. Hahaha!
Age ain't nothing but number!
 
If all needs as far as marriage consummation are fulfilled, then age aint nothing!
 
Hivi kuna utofauti gani kati ya 'mwanaume mwenye miaka 40 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 20' na 'mwanaume mwenye miaka 20 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 40'?????

Tabia ndo muhimu kuangalia ila umri hauna maana sana
 
Mi wife kanikandamiza na miaka 8 na maisha yanasonga mbele kama kawa. Nikitaka kwenda Ngwasuma ananisindikiza na akienda Bakulutu nampa kampani. Ila taarab ndio huwa hapati kampani yangu. Hahaha!
Age ain't nothing but number!
hehehehe!talking of WHO TOLD YOU(..........to come here)!.....
 
Mi wife kanikandamiza na miaka 8 na maisha yanasonga mbele kama kawa. Nikitaka kwenda Ngwasuma ananisindikiza na akienda Bakulutu nampa kampani. Ila taarab ndio huwa hapati kampani yangu. Hahaha!
Age ain't nothing but number!

kweli xpin mradi iwepo true love ndani yake
 
Back
Top Bottom