Hata yesu alisalitiwa kwa masualahayo hayo ya pesa.
Binti akimwambia mzazi wake nimepata 'mchumba' swali la kwanza kuulizwa ni "ANAKAZI GANI?" hiyo yote ni pesa.
Bila pesa au kutoka kwenye familia bora,huwezi kumwoa mtoto wa kigogo Masaki.
Nimeangalia comment zote nimeona hii kidogo ina POINT za maana na za kueleweka.
Gia ya kumwingia pretty bila hela hiyo, utupe mlisho nyuma ukifanikiwa.
Hivi kuna utofauti gani kati ya 'mwanaume mwenye miaka 40 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 20' na 'mwanaume mwenye miaka 20 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 40'?????
Hivi kuna utofauti gani kati ya 'mwanaume mwenye miaka 40 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 20' na 'mwanaume mwenye miaka 20 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 40'?????
maisha bora kwa kila mtanzania ..
ila sometimez kuna utofauti cause hivi vi young age mala kinatamani kwenda Ngwasuma mwenzie anawaza bakurutu ,
Hivi kuna utofauti gani kati ya 'mwanaume mwenye miaka 40 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 20' na 'mwanaume mwenye miaka 20 akiwa na uhusiano na mwanamke mwenye miaka 40'?????
hehehehe!talking of WHO TOLD YOU(..........to come here)!.....Mi wife kanikandamiza na miaka 8 na maisha yanasonga mbele kama kawa. Nikitaka kwenda Ngwasuma ananisindikiza na akienda Bakulutu nampa kampani. Ila taarab ndio huwa hapati kampani yangu. Hahaha!
Age ain't nothing but number!
Mi wife kanikandamiza na miaka 8 na maisha yanasonga mbele kama kawa. Nikitaka kwenda Ngwasuma ananisindikiza na akienda Bakulutu nampa kampani. Ila taarab ndio huwa hapati kampani yangu. Hahaha!
Age ain't nothing but number!
hehehehe!talking of WHO TOLD YOU(..........to come here)!.....