Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Kuna broo ni manager wa hotel fulani hapa jijini, anatoa kweli pesa kwa kabinti Fulani ka chuo... Hako kabinti kuna mda kanapewa pesa kanakuja kuziacha geto hapa... Sometimes naona sio fair kula pesa za mwanaume mwenzangu... Kama unaamini mapenzi ni pesa endelea kuhonga.. ukweli mchungu kuna wanaume wenzio wanakula pesa zako na wanakula demu wako

Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndo mambo hayo sasa wadada wale pesa tyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenzi bila pesa utayafurahia kwa style ipi? Mimi nisiwe mnafiki cwez kudate man asie na kaz na cwez kuanza maisha chini na mwanaume,

Mapenzi bila pesa hayawezekani..inauma sana kusalitiwa na mwanaume asieweza kukununulia hata cheni fake.
 
Vijana mnachekesha sana eti, mapenzi sio pesa nani kakuambia? Dunia imechange sana hakuna mwanamke atayekupenda kama hauna pesa. Tuanzia hapa pango, chakula, nauli, ada, nguo mahitaji yote muhimu bila pesa uwezi kupata.

Sasa mwanamke gani atakayekubali ujinga ujinga, mwanaume lazima uwajibike pesa kwanza mapenzi baadae.

Dunia ya leo ili mapenzi yaende kuna mambo lazima yawepo ili upendo upatikane.

Kama unabisha jaribu halafu utapata majibu yake. Na kama uko na mwanamke anajifanya kukupenda wakati ni Mario jua ni mnafiki huyo.

Pesa ndio kiungo cha mapenzi, najua wapo watakao pinga ila no money no love.

Ni unafiki tu.
Women dont love, they look for the security that money provides. Simple as that.
 
Mtu ambae anakuwa na masharti katika kufanya jambo fulani basi huyu mtu anaangazia masilahi yake kwanza na si yenu wawili.

Upendo haupo hivyo......

Kama mwanamke atakupenda basi atakuwa tayari kujikana yeye kwaajiri yako. Kama vile anavyokana nafsi yake kwaajiri ya wazazi wake na ndugu zake na watoto wake. Nje ya hapo hakuna upendo ni mahusiano tu ya kike na kiume.....

Na kama mtu anakutakia pesa na wewe una haki ya kumtaka kwa vile unataka sababu unamlipa kuhusiana nae..... Hivyo ukijisikia kumlala, kumsaliti, naam vyovyote pesa yako unayompa inatoshea kununua uvumilivu wa gharama yake then basi upo huru kumfanya utakavyo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume + mwanamke + pesa = Ngono
(Mwanaume + mwanamke) + pesa = Mapenzi
Mwanaume + mwanamke - pesa = Mapenzi kwa Neema ya Mungu tu
(Mwanaume + mwanamke) (pesa × 0) = Utapata tabu sana
Chaguo ni lako
 
Slay Queens nikimuona hata amebakwa naweza enda join efforts!

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Turue and not turue not all the women loves money another women loves a man as he is.

Soma vizuri sijasema women love money nimesema women look for the security that money provides.

Alafu huyo atakayempenda mwanaume kapuku ujue hana chura wala sura hahaha
 
Back
Top Bottom