Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,359
Wewee mmh!Soma vizuri sijasema women love money nimesema women look for the security that money provides.
Alafu huyo atakayempenda mwanaume kapuku ujue hana chura wala sura hahaha
Wewee mmh!Soma vizuri sijasema women love money nimesema women look for the security that money provides.
Alafu huyo atakayempenda mwanaume kapuku ujue hana chura wala sura hahaha
Ndio ukweli wenyeweWewee mmh!
Sijawai kubet mkuu ila niliwahi kutapeliwa million 1 kwenye kamari za kipuuzi hadi Leo najuta na stak kuskia kamari
Huyo umempata kwa usumbufu alaf mi sijazungumzia maswala ya kumpata kwa shida ila nmelenga mahusiano yaliyodum katika kipindi cha shidaUkimpata demu baada ya kumtongoza miaka 4 umempata kwa shida?
Yan watu kama nyie nawapendaga sanaRaha
GunFire
Una undugu na Secretary Pompeo ?Wakuu nimegundua kwenye mapenzi wengi wanao umizwa ni wale wanaojitahidi kuyapigania mapenzi kwa mali zao
Unakuta mtu unamtongoza dem anakukataa ila kwakua unapesa bas unafanya juu chin vishawishi vingi hadi unampata alaf badae zikiisha akikukimbia unasema nilimpa kila kitu ila haridhiki, hapana siyo kwamba haridhiki isipokua ulikua unanunua tu mapenzi hivyo pesa zikiisha atakuacha tu.
Ukihitaji dem wa kumpiga na kumuacha we mshawishi kwa pesa zako tu ila kama unataka mke ni bora ukaanza mahusiano nae kwa kumpa mitihani midogo midogo hata Kama unauwezo wa kumtimizia we Mara nyingine mwambie sina pesa akiamua kukusaliti kwasababu hizo za kutokua na pesa we achana nae tu kwakua mapenzi hayanunuliki.
Nasema hivi kwakua gharama ya kuyanunua mapenzi malipo yake ni majuto unaweza hata kuuwa
GunFire
Kweli kabisa ndugu.Wakuu nimegundua kwenye mapenzi wengi wanao umizwa ni wale wanaojitahidi kuyapigania mapenzi kwa mali zao
Unakuta mtu unamtongoza dem anakukataa ila kwakua unapesa bas unafanya juu chin vishawishi vingi hadi unampata alaf badae zikiisha akikukimbia unasema nilimpa kila kitu ila haridhiki, hapana siyo kwamba haridhiki isipokua ulikua unanunua tu mapenzi hivyo pesa zikiisha atakuacha tu.
Ukihitaji dem wa kumpiga na kumuacha we mshawishi kwa pesa zako tu ila kama unataka mke ni bora ukaanza mahusiano nae kwa kumpa mitihani midogo midogo hata Kama unauwezo wa kumtimizia we Mara nyingine mwambie sina pesa akiamua kukusaliti kwasababu hizo za kutokua na pesa we achana nae tu kwakua mapenzi hayanunuliki.
Nasema hivi kwakua gharama ya kuyanunua mapenzi malipo yake ni majuto unaweza hata kuuwa
GunFire
Kweli huu uzi wetu wahenga fatherz n motherz. Sikumbuki hata nilichangia nini hapa😁😁Huu Uzi Una Members WA zamani kweli kweli watu wamejoin JF 2008,2009,2010
Ni Zamani Sana Nilikua mdogo kwa kweli japo Sio Sana
Bila Shaka hawa watu umri wao una range 40 na kuendelea Ni ma-father na ma-bro Sasa
Mbona wengine wako online na hawajachangia mda mrefu Sana ?
shikamoo [USER=32215]mama D ww ni hazina kubwa sana humu ndani.. Ni ID chache sana za kitambo ambo zipo Online hado leoMarhaba hazardous 😁