uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,091
Kuna mtu haelewi hii Lugha mtafsirie, maana anasema najifarijiUmemaliza kila kitu
Kuna mtu haelewi hii Lugha mtafsirie, maana anasema najifarijiUmemaliza kila kitu
Well said....[emoji1319]Tusiwaonee, si mwanamke tu hata wewe huwezi ishi bila pesa.
Halafu umetaja hayo ni mahitaji ya msingi. Ishu inapokuja ni pale mtu anakuwa na tamaa. Unamudu hayo kesho anatokea zaidi yako.
Ila pesa isiwe kigezo cha kukataliwa kikubwa hujakatika mikono bado unaonyesha juhudi.
Mbona sasa hampendi kutafuta pesa mnategemea za wanaume?Inang'arisha na kuifanya ing'ae mara3 zaidi
Maybe hawajapata wenye pesa kukuzidi. But once they do utasimliaWapo na ninao kama 7 ni mimi kuchagua yupi tu nipite nae
ila wote wame qualify vigezo na mashart ya TBS (sio wanafki)
Mzee wako wakati anamuoa mother alikuwa ana pesa?
Kama jibu hamna, basi mapenz sio lazima uwe na pesa,
Tatizo ni tamaa ya kutaka kuishi maisha ya kwenye movie na season za Kikorea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umesema vizuri sana[emoji173]Tusiwaonee, si mwanamke tu hata wewe huwezi ishi bila pesa.
Halafu umetaja hayo ni mahitaji ya msingi. Ishu inapokuja ni pale mtu anakuwa na tamaa. Unamudu hayo kesho anatokea zaidi yako.
Ila pesa isiwe kigezo cha kukataliwa kikubwa hujakatika mikono bado unaonyesha juhudi.
Akiniacha huyo si wangu,atakuja wangu.Maybe hawajapata wenye pesa kukuzidi. But once they do utasimlia