Weee ndio umeongea sasa.Watu tunashindwa kutofautisha kati yakupenda hela na kuhitaji hela hivyo ni vitu viwili tofauti
Baby mimi nikila, nikilala, nikavaa, nikienda hospitals basi inatosha, hayo mengine majaliwa ya MunguTusiwaonee, si mwanamke tu hata wewe huwezi ishi bila pesa.
Halafu umetaja hayo ni mahitaji ya msingi. Ishu inapokuja ni pale mtu anakuwa na tamaa. Unamudu hayo kesho anatokea zaidi yako.
Ila pesa isiwe kigezo cha kukataliwa kikubwa hujakatika mikono bado unaonyesha juhudi.
NakaziaZamani sio sasa mkuu. Dunia imebadilika. Zaman msichana hutoi pussy hadi uolewe,so hata asipogharamikia unajua akinioa atanitunza. But sku hizi tunaviziana sana. Unataka pussy uchape usepe na manzi anataka pesa ili hata ukisepa kakufaidi na wewe.
Ndio maana nikakuchagua wewe unajua kwanini?Baby mimi nikila, nikilala, nikavaa, nikienda hospitals basi inatosha, hayo mengine majaliwa ya Mungu
Kifupi.
Ukiona mwanamke anakuomba pesa ujue hakupendi... Huyo ni malaya tuuu
Ukiona wewe kila siku ndio unamtafuta mwanamke ujue hupendwi kwaiyo tumia PESA kumpata
Kweli pesa iwepo kipalilia penzi
Hata wewe unapenda pesaUmemaliza kila kitu uungwana classic,
Mapenzi sio Pesa ila hakuna penzi libalokwenda bila ya pesa kuwasiliana Pesa, kukutana Pesa, kuoana pesa...mpenzi wako anapatwa na shida ndogondogo inahitajika pesa.
Usijidanganye bule.
Mkuu.Hakuna mwanamke asiyeomba pesa wewe inamaana yeye hapatwi na shida mwanaume unakuwa na shida sometimes mapaka basi ndio iwe mwanamke
HeheheUkiona mwanamke hakuombi hela na anakutafuta kila mara ujue anakupenda tumia PESA kupalilia PENZI
Broke guys saying...so akiwa na shida pia asikuombe???