Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
ukiona hivyo hujapendwa dogo kipepe.
siku hizi hukataliwi mabomu yatakukimbiza mwenyewe dogo.
😄😄😄😄😄 hakataliwi mtu,mizinga itaamua uendelee kubaki au kusepa!
ukiona hivyo hujapendwa dogo kipepe.
siku hizi hukataliwi mabomu yatakukimbiza mwenyewe dogo.
Mi nahisi wanaunga mkono juhudi za ndugu mwenyekiti kwenye uchumi wa kati kuelekea uchumi wa viwanda.Hata mi sielewi wanakwama wapi asee
Smart guy
[emoji16] [emoji16] [emoji16] inawezekana aseeMi nahisi wanaunga mkono juhudi za ndugu mwenyekiti kwenye uchumi wa kati kuelekea uchumi wa viwanda.
Nafkiri wapunguze vizinga kwanza mengine yatajulikana huko mbeleni.Mkuu wasipopenda pesa ndo tutawaoa au ndo tutaacha kuwasaliti?
Alafu utoke ndukiiiiii ile mbayaNa ukiwa nazo ukagundua unapendwa kwa pesa zako STUKA!!!
Alafu utoke ndukiiiiii ile mbaya
Smart guy
Kwa sababu mmezoea kuwanunua.Aseee waseeee! Hivi Hawa Dada zetu wa miaka hii kwanini hawana mapenzi ya Kweli wanapenda sana pesa??!
Yani kwa miaka hii ukiwa na pesa ndefuu hakuna mwanamke utakaemkosa unamla utakaemtakaa, aseee mbona bibi zetu hawakua hivi? Wanakwama wapi???
Ukitongoza tu mwanamke utaskia oooh! "my Nina shida naomba ela mambo yangu yakikaa poa takulidishiaa"
Aseee kizinga kinakuja kwa style ya kukopa na kama huwezi kumkopesha ujue Ndio imekula kwa mkorea hiyoooo K hupati na unawekwa blacklist aseee!
Eebanae! Hawa watu wanakwama wapi aseee?
Hakika mkuuBaadhi ya hawa wanawake hawana mapenzi ya kweli bali wanapenda pochi, pesa ikizingua tu basi wanajikata haraka sana na kumuacha ME na majuto ni mjukuu.
Ohoo hapo ndipo penye mtihani kwao sasaNafkiri wapunguze vizinga kwanza mengine yatajulikana huko mbeleni.
Smart guy
1. HampendekiAseee waseeee! Hivi Hawa Dada zetu wa miaka hii kwanini hawana mapenzi ya Kweli wanapenda sana pesa??!
Yani kwa miaka hii ukiwa na pesa ndefuu hakuna mwanamke utakaemkosa unamla utakaemtakaa, aseee mbona bibi zetu hawakua hivi? Wanakwama wapi???
Ukitongoza tu mwanamke utaskia oooh! "my Nina shida naomba ela mambo yangu yakikaa poa takulidishiaa"
Aseee kizinga kinakuja kwa style ya kukopa na kama huwezi kumkopesha ujue Ndio imekula kwa mkorea hiyoooo K hupati na unawekwa blacklist aseee!
Eebanae! Hawa watu wanakwama wapi aseee?
Wewe sio mdau? Changia kwanza!Nitarudi kuona michango ya wadau.... Ngoja nikasolve mathematics kwanza
Kilichowatenganisha? Ulikosea wp?Mwanamke akishakupa nafasi ya kumpenda... Kisha ukamthamini, ukamjali, ukamridhisha katika mapenzi... Pesa huwa inakosa nafasi kabisa katika hayo mahusiano....
Hili nimelithibitisha katika maisha yangu... Kabla ya kutengana naye...
Nitarudi kuona michango ya wadau.... Ngoja nikasolve mathematics kwanza