Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Duh pesa jaman tuitafute jaman.... Mwanamke ukimfumania alafu una pesa utakuwa na Sauti ila wewe jifanye fundi kitandani alafu itokee bahati mbaya umemfumania namwenye pesa unadhani dem atakuwa upande gani? Jibu nimoja2 atakuwa upande wamwenye pesa.

NB:- kumbuka mjini wanaume wenye nguvu yakutia vzr wapo wengi sana tofauti nawanaume wenye pesa so jiongeze mzee baba
Pesa tafuta kwa ajili ya familia yako na wazazi wako na siyo kuhonga Mkuu.
 
Pesa tunazipenda hasa tupewe na wanaotutimizia haja zetu kitandani
 
Pesa sio kila kitu katika mapenzi, ila pesa ukiwa nayo inaongeza furaha.... Huwezi ukatenganisha mapenzi na pesa nasisitiza "money and love are inseparable". Halafu ukisikia pesa maana ake sio ndio uwe na nusu ya bakhresa uwe na pesa ya kutimiza mahitaji muhimu..... Hebu imagine unadate na mtu ambae hata elf 30 ya kulipia lodge tu hana, kunibebisha tu kwa simu we need money kununua vocha, jioni tu kutembea zile evening walk za kimahaba uwe hata na pesa ya ice cream au Heineken kuwa BROKE ASS kabisa afu useme mapenzi sio pesa hapana aseee mapenzi na pesa ni mapacha huyu ni mimi Es.
Hiyo définition ya mapenzi na pesa ni pacha hiyo ni définition ya Mwanamke

Vipi kuhusu définition ya mapenzi kwa mwanaume ?
 
Habari zenu wana JF. Ni matumaini yangu kuwa mu wazima wa afya njema na mnaendelea kufuhia hii weekend njema.

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu hapo juu napenda kukuthibitishia kwamba pesa si kitu katika mahusiano ya kimapenzi.
kumekuwa na kasumba kuwa ukitaka mahusiano yako yawe imara na thabiti ni lazima uwe na pesa nyingi za kuweza kumpa mpenzi wako/ ili umhudumie kwa kiwango cha hali ya juu ile nae kwa upande wa mweingine aweze kukuonesha upendo wa dhati na wa kweli. kiukweli siyo jambo baya kuwa na pesa nyingi lakini kuwa na pesa nyingi usifikiri ndiyo utapewa au kuoneshwa kila kitu katika mahusiano.

Frankly speaking, hi dhana ya kwamba pesa ndiyo kila kitu katika mapenzi ni uongo na upotoshaji mkubwa sana kwa sababu leo nilienda sehemu Fulani kupata chakula cha mchana baada ya kutoka job.

Wakati napata msosi wangu wa nguvu akatokea mdada mmoja hivi mzuri sana na mwenye mikogo japo hana maringo hata kidogo na ana sifa zote za uzuri.
katika kupiga stori akasema nanukuu "nyie wanaume mnafikiri mapenzi ni pesa wapo wanawake ambao hawahitaji pesa kutoka kwako ila tu kuna kikundi cha wanawake wachache sana ambao wanatuchafua tuonekane kama tunapenda pesa sana wakati siyo kweli hasa. Tatizo lenu hamjui shughuli, mshughulikie mwanamke mpaka asubuhi anapondoka kutoka kwako kwenda kwao au kazini asahau kukuomba hela na hata ukimpa aikatae"

Nilipigwa na butwaa kusikia hayo maneno kutoka kwa mwanamke mzuri kama yule.
nilizidi kumdadisi sana ili afunguke Zaidi but muda wake ukawa umeisha wa kukaa pale hivyo akawa ameondoka na kuniacha njia panda.Ingawa kutokana na maneno yake na utafiti ambao nimekuwa nikiufanya nimegundua kuwa nyie dada zetu mnataka mapenzi na siyo pesa ila pindi ukimkuta jamaa ana pesa yake na hayuko vizuri kitandani huwa mnatafuta mbadala ili muweze kukidhi haja zenu za kimwili.

Mbali na huyo mdada aliyoyasema hayo maneno siku moja nikiwa pale MARRYBROWN nilimsikia mama mmoja analamika sana kwa mume wake anamtesa sana, nanukuu "shida siyo pesa unazonitumia, pesa ni kitu gani kwani? usije ukanilaumu mwisho wa siku kwani kutoka hapo Dodoma mpaka Dar kuna umbali gani?"

Siku nyingine nilipewa simu na mama wa makamo ili nimrekebishie WhatsApp yake. Baada ya kutengamaa ikabidi nichungulie kidogo kwenye conversations zake kwa bahati nzuri /mbaya nikakuta the same case. Kiukweli nilishangaa sana hivyo ikapelekea nigundue kuwa pesa si kitu na haina nafasi katika mahusiano bali mapenzi ya dhati tu.

UShahidi mwingine ni kwamba kumezuka na limbi kubwa sana la majimama ya mjini (sugar mumies) kupenda kutafunwa na vijana wadogo sana.( mashababi). Hao wamama huwa wanajinadi kwa kusema kuwa baba zetu wamechoka sana. wakipiga kimoja tu chali wanabaki kutoa ulimi nje.s Siyo maneno yangu bali yao.

Wanaume wenzangu naomba tuwe tunawashughulikia vizuri hawa viumbe mpaka wasahau kuomba pesa.
Let's not create any gap ambayo inapelekea tuombwe pesa hovyo na hawa viumbe. Hakika ukiwa vizuri hautaona vibomu vya hapa na pale.
Ila ukiwa mdhaifu na akajua udhaifu wako atakusumbua sana maana anajua kabisa game hujui kupiga hivyo ulinzi wako kwake ni pesa tu basi.
Ukijua kupiga kazi nzuri, ukamheshimu na kumjali hautaombwa hata mia.

Wanaume wenzangu tuache udhaifu wa kuwapa pesa hawa viumbe tukidhani ndiyo tutaoneshwa upendo uliyo wa kweli na wa dhati.
Natumai tumeelewana.

Namalizia kwa kusema kuwa pesa haina nafasi katika mahusiano ya kimapenzi.

ahsanteni na karibuni kwa michango yenu.
Acha nikatafute pesa kwanza ndio nije kusoma vzr
 
Aseee waseeee! Hivi Hawa Dada zetu wa miaka hii kwanini hawana mapenzi ya Kweli wanapenda sana pesa??!

Yani kwa miaka hii ukiwa na pesa ndefuu hakuna mwanamke utakaemkosa unamla utakaemtakaa, aseee mbona bibi zetu hawakua hivi? Wanakwama wapi???

Ukitongoza tu mwanamke utaskia oooh! "my Nina shida naomba ela mambo yangu yakikaa poa takulidishiaa"

Aseee kizinga kinakuja kwa style ya kukopa na kama huwezi kumkopesha ujue Ndio imekula kwa mkorea hiyoooo K hupati na unawekwa blacklist aseee!

Eebanae! Hawa watu wanakwama wapi aseee?
 
Waoaji wapo wengi mzee baba? Kama wapo wachache basi acha wapende tu hizo pesa na sisi acha tuwape tu maana kama tunawagegeda tu halafu hatuwaoi tunawaacha si tunakuwa tunawapotezea muda? Na wao wanaona watupotezee pesa zetu tu angalau wote tuwe na cha kupoteza daah
 
Aseee waseeee! Hivi Hawa Dada zetu wa miaka hii kwanini hawana mapenzi ya Kweli wanapenda sana pesa??!

Yani kwa miaka hii ukiwa na pesa ndefuu hakuna mwanamke utakaemkosa unamla utakaemtakaa, aseee mbona bibi zetu hawakua hivi? Wanakwama wapi???

Ukitongoza tu mwanamke utaskia oooh! "my Nina shida naomba ela mambo yangu yakikaa poa takulidishiaa"

Aseee kizinga kinakuja kwa style ya kukopa na kama huwezi kumkopesha ujue Ndio imekula kwa mkorea hiyoooo K hupati na unawekwa blacklist aseee!

Eebanae! Hawa watu wanakwama wapi aseee?
Tumia pesa kama mishkaki ya kunasia panya tuwatafune hawa malaya
 
Siku hizi ndo staili zao, juzi juzi nimekutana na k kwenye usafiri wa uma.Baada ya stori mbili tatu kabla ya kushuka nikachukua namba. Duu hata sijashuka verse demu kaanza vizinga mara unaumwa sina hela ya hospitali yani shida tupu *****. Demu hata hela ya vocha hana ni kubeep tuu hadi kero. Nikamchana aache njaa kali hapo hapo nikamweka blacklist.
Aseee waseeee! Hivi Hawa Dada zetu wa miaka hii kwanini hawana mapenzi ya Kweli wanapenda sana pesa??!

Yani kwa miaka hii ukiwa na pesa ndefuu hakuna mwanamke utakaemkosa unamla utakaemtakaa, aseee mbona bibi zetu hawakua hivi? Wanakwama wapi???

Ukitongoza tu mwanamke utaskia oooh! "my Nina shida naomba ela mambo yangu yakikaa poa takulidishiaa"

Aseee kizinga kinakuja kwa style ya kukopa na kama huwezi kumkopesha ujue Ndio imekula kwa mkorea hiyoooo K hupati na unawekwa blacklist aseee!

Eebanae! Hawa watu wanakwama wapi aseee?
 
Mwanaume hutakiwi kupoteza muda kujadili kwanini wanawake wanapenda hela,Unacho takiwa kufanya ni kutafuta hela,Tafuta hela ili maisha yako yawe na thaman kubwa ili upate wanawake kirahis,Nikwambie kitu kimoja,Ukiwa na pesa na maisha yako ukawa umejipanga kwa kila kitu hutotumia pesa nying kutafuna wanawake,Masikin ndo huwa tuna tumia hela nyingi kupata wanawake ila matajiri wanaweza chapa madem hata bure kisa tu "status".
 
Back
Top Bottom