hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,347
- 80,220
Well said indeedUkiwa na mwanamke anakwambia hapendi pesa anakudanganya, kama hakuombi pesa kweli kakupenda japo pia yaweza kuwa mtego tu ili akupate kwa kigezo kuwa hapendi pesa na hapo kuna mawili either anazo pesa zake yeye au kuna danga linamuwezesha.....tena anaweza kwenda mbali anahongwa huko anazileta kwako kidume unacheeeeka eti mwanamke wangu hapendi pesa, ajikute tu!!!!