Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Hapo tu ulipo unaiwaza balimi, kaone kwanza. Sijui nani unamuibia mwenza[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Hahaha na hii hali ya hewa ya leo mwenza acha tyuu,.hata ndovu ningekunywa..lakini ubaya wangu jamanii siwezi swaga za kumuibia mtu sijui kukaa bush sana ndio matokeo yake haya...em nipe tekniki wangu,.lol
 
Hahaha na hii hali ya hewa ya leo mwenza acha tyuu,.hata ndovu ningekunywa..lakini ubaya wangu jamanii siwezi swaga za kumuibia mtu sijui kukaa bush sana ndio matokeo yake haya...em nipe tekniki wangu,.lol
Gwiji kwenye hiyo sekta ni Khantwe yaani ameshindikana.
Mwenza mimi kama wewe tu, naiba asubuhi mchana nasahau najisemea[emoji134]
 
Mi nilimwita Bar mchana akaniambia anakula ila alipokuja tu njaa ikaanza kumuuma anataka mbuzi choma
Unapomtongoza mwanamke asubuhi jioni anapata tatizo la kifedha hivyo basi kama mpenzi mtarajiwa unapaswa kwa namna yoyote kutatua tatizo.

SWALI

Hawa wanawake zetu tunaowatongoza ufanya hivyo ili kujihakikishia kama endapo akikubali offer ya mahusiano atakua na mtu sahihi au ni namna mpya ya utapeli mjini kupitia mwamvuli wa mapenzi???

Binafsi niliwai mtongoza dada niliekutana nae njiani akaniomba elfu70 baada ya mahojiano ya hapa na pale akashuka mpaka elfu tatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom