Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

It is just a coincidence. Yaani unamtongoza mchana, saa12 jioni kakutumia msg mume nimekumisi, saa mbili usiku nina shida ya hela mume wangu. Na sababu zao zinafanana. Utaskia mama anaumwa, luku imeisha, kodi ya nyumba imeisha, jamani... Yote hayo yalikuwa yanasubiri nikutongoze??
 
Ndio ubaya wa kuwa tegemezi kwa kila kitu na kuendekeza umasikini,.hivi mtu mmekutana alfajiri adhuhuri unaomba hela ya luku jamanii,ina maana huyo mtu asingetokea ingekuwaje??aisee sipendi hizi tabia za kishamba ningekuwa na uwezo ningewachapa viboko watu wa hivi,na hata wanaume baadhi msione wapenzi wenu wanajiweza kidogo basi na nyinyii mara ooh AC ya gari imelegea,sijui banseni bana ya gari imeungua jaame jaamee,.jameniiii em tusichanganye mapenzi na njaa,.ndio maana watu hamfiki vileleni kwasababu unawaza sijui leo nidanganye nini ili nipate hela ya balimi...mfyuuuuu em acheni njaa bwanaa😏😏


#nohardfeelings#
Mie nachukia maanaume yanayopenda kuomba!
Mimi kama mwanamke ambaye tunasifa ya kuomba omba sijakuomba sasa kwanini wewe, na mapu.mbu yako uanze kunisumbua?
😡😡😡😡😡😡😡😡😡
 
Unapomtongoza mwanamke asubuhi jioni anapata tatizo la kifedha hivyo basi kama mpenzi mtarajiwa unapaswa kwa namna yoyote kutatua tatizo.

SWALI

Hawa wanawake zetu tunaowatongoza ufanya hivyo ili kujihakikishia kama endapo akikubali offer ya mahusiano atakua na mtu sahihi au ni namna mpya ya utapeli mjini kupitia mwamvuli wa mapenzi???

Binafsi niliwai mtongoza dada niliekutana nae njiani akaniomba elfu70 baada ya mahojiano ya hapa na pale akashuka mpaka elfu tatu.
alafu kuna wengine wanaomba kama wanakulazimisha yani, ila mm huwa na waweza kama sijapita nae huwa na mualika tuje tugegedane, hapo hatakujibu tena , ila ambao hawana nauli mm huwa siwataki kabisa kwa sababu hao ni liability,
 
Funguka mama kilary
Ndio ubaya wa kuwa tegemezi kwa kila kitu na kuendekeza umasikini,.hivi mtu mmekutana alfajiri adhuhuri unaomba hela ya luku jamanii,ina maana huyo mtu asingetokea ingekuwaje??aisee sipendi hizi tabia za kishamba ningekuwa na uwezo ningewachapa viboko watu wa hivi,na hata wanaume baadhi msione wapenzi wenu wanajiweza kidogo basi na nyinyii mara ooh AC ya gari imelegea,sijui banseni bana ya gari imeungua jaame jaamee,.jameniiii em tusichanganye mapenzi na njaa,.ndio maana watu hamfiki vileleni kwasababu unawaza sijui leo nidanganye nini ili nipate hela ya balimi...mfyuuuuu em acheni njaa bwanaa[emoji57][emoji57]


#nohardfeelings#

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenz sio pesa ila ikikosekana mapenzi yanapungua Nukta
 
Mie nachukia maanaume yanayopenda kuomba!
Mimi kama mwanamke ambaye tunasifa ya kuomba omba sijakuomba sasa kwanini wewe, na mapu.mbu yako uanze kunisumbua?
😡😡😡😡😡😡😡😡😡
Ndio shida ya kutoka na Marioo. Lazima upigwe vizinga.🤣🤣🤣😂
Wanaume wa kweli tunaomba nyapu tu
 
Ndio ubaya wa kuwa tegemezi kwa kila kitu na kuendekeza umasikini,.hivi mtu mmekutana alfajiri adhuhuri unaomba hela ya luku jamanii,ina maana huyo mtu asingetokea ingekuwaje??aisee sipendi hizi tabia za kishamba ningekuwa na uwezo ningewachapa viboko watu wa hivi,na hata wanaume baadhi msione wapenzi wenu wanajiweza kidogo basi na nyinyii mara ooh AC ya gari imelegea,sijui banseni bana ya gari imeungua jaame jaamee,.jameniiii em tusichanganye mapenzi na njaa,.ndio maana watu hamfiki vileleni kwasababu unawaza sijui leo nidanganye nini ili nipate hela ya balimi...mfyuuuuu em acheni njaa bwanaa[emoji57][emoji57]


#nohardfeelings#
Wanawake wa siku hiz wengi njaa tu japo sio wote ...
Kuna dada mmoja nimekuwa na uukaribu nae tangu mwaka jana mwez wa 12, jana nkavunja ukmya juu ya hisia zangu kwake, kilichofuatia ni anaomba hela kuwa leo ni birthday yake na mbaya zaid sio kweli na anatumia fosi nmpe hela haitaji zawadi . Nmebaki nashangaa amezaliwaje mara mbili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio ubaya wa kuwa tegemezi kwa kila kitu na kuendekeza umasikini,.hivi mtu mmekutana alfajiri adhuhuri unaomba hela ya luku jamanii,ina maana huyo mtu asingetokea ingekuwaje??aisee sipendi hizi tabia za kishamba ningekuwa na uwezo ningewachapa viboko watu wa hivi,na hata wanaume baadhi msione wapenzi wenu wanajiweza kidogo basi na nyinyii mara ooh AC ya gari imelegea,sijui banseni bana ya gari imeungua jaame jaamee,.jameniiii em tusichanganye mapenzi na njaa,.ndio maana watu hamfiki vileleni kwasababu unawaza sijui leo nidanganye nini ili nipate hela ya balimi...mfyuuuuu em acheni njaa bwanaa[emoji57][emoji57]


#nohardfeelings#
Kujidhalilisha tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom