St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,994
- 5,233
Mbona umefunga PM.. Mi nataka nikuombe kitu...hahaaahhh, njooo tu karibu sana.hahahahaah
Mbona umefunga PM.. Mi nataka nikuombe kitu...hahaaahhh, njooo tu karibu sana.hahahahaah
😀😀😀😀😀Mzee umemshusha toka 70 mpk buku 3,hongera!
Mimi niliahidi kutoa laki 2 tarehe 20 siku zinaenda mbio eti leo tarehe 17 tayari
Nami naomba.Mzee umemshusha toka 70 mpk buku 3,hongera!
Mimi niliahidi kutoa laki 2 tarehe 20 siku zinaenda mbio eti leo tarehe 17 tayari
hata wanaume baadhi msione wapenzi wenu wanajiweza kidogo basi na nyinyii mara ooh AC ya gari imelegea,sijui banseni bana ya gari imeungua jaame jaamee,.jameniiii em tusichanganye mapenzi na njaa,.ndio maana watu hamfiki vileleni kwasababu unawaza sijui leo nidanganye nini ili nipate hela ya balimi...mfyuuuuu em acheni njaa bwana
Unawaza nini mwenza??[emoji848][emoji848][emoji848]
Nawaz anaachaje njaa wakati kama kuna kitu hakiridhiki humu duniani ni njaa.Unawaza nini mwenza??
Niongee na nani sasa jomoniii😩Nawaz anaachaje njaa wakati kama kuna kitu hakiridhiki humu duniani ni njaa.
Hebu jaribu kuongea nae ili tupumue.
Na njaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niongee na nani sasa jomoniii[emoji30]
Nyau wewee njaa si uliambie tumbo lako lisiume😂😂😂😂😂Na njaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85]Nyau wewee njaa si uliambie tumbo lako lisiume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi mwenza una tumbo ka ngoma ya kijiji wewe looh😂😂😂😂🏃🏃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85]
Halisikii sasa, yaani likiuma basi lazima hadi kieleweke. Hapana chezea njaa mwenza.
Mwenza wewe unavumiliaga njaa miaka mingapi?Basi mwenza una tumbo ka ngoma ya kijiji wewe looh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
Huu mwaka wangu wa 10 sasa mwenza😊Mwenza wewe unavumiliaga njaa miaka mingapi?
Ahahahahahahah,, iyo kali uyo demu anaonekana alikuwa ana njaa sana mpaka buku tatu uyo papuchi ata kwa mkopo anatoa vzur tuUnapomtongoza mwanamke asubuhi jioni anapata tatizo la kifedha hivyo basi kama mpenzi mtarajiwa unapaswa kwa namna yoyote kutatua tatizo.
SWALI
Hawa wanawake zetu tunaowatongoza ufanya hivyo ili kujihakikishia kama endapo akikubali offer ya mahusiano atakua na mtu sahihi au ni namna mpya ya utapeli mjini kupitia mwamvuli wa mapenzi???
Binafsi niliwai mtongoza dada niliekutana nae njiani akaniomba elfu70 baada ya mahojiano ya hapa na pale akashuka mpaka elfu tatu.
We utakula buku tu, jamaa kwa negotiation skills nahisi alikula A+ ya 98/100! Unamshushaje mtu toka 70k hadi buku 3?Nami naomba.
We hata Mungu anakuogopa mwenza. Nani alikuumba? Inabidi tukutoe photocopy.Huu mwaka wangu wa 10 sasa mwenza[emoji4]
Ndio maana nikaomba huyo aloahidi kubwa kubwa kidogo. Mtoa mada sio mtu mzuri.We utakula buku tu, jamaa kwa negotiation skills nahisi alikula A+ ya 98/100! Unamshushaje mtu toka 70k hadi buku 3?