mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,734
Baada ya kuona vizinga unavyopiga havifanyi kazi sasa unajikuta unajua sana sex
hata huba hawaijui, mtukumbukage na sie walalahoi tunaoweza kusimamia show mwanzo mwisho + viduku juuMkifulia mnajua Mapenzi. Wenye hela waulize kama wapenzi wao wanafika kileleni.
Tunataka mapenziNyie Hamjielewi mnataka nini?
Duuh umeshuka mistari ya nguvu mkuu hasa conclusion hapo chini kwenye uchaguzi makini ambapo ingependeza kwenye kufanya uchaguzi makini ni pamoja na KUKUA KIUMRI na KIUCHUMI na mwanaume yaani kuwa na mwanaume wako wa ujanani yaani uliyetoka nae "from zero to hero" utajikuta demu ana enyoy tofauti na sasa mtu anatafuta ready made (mwenye hela tayari) wengine ndio wanapambana na hiyo hali though kuna wenye hela na kupiga pampu pia wapo vizuri.Kwa wanawake hawa na Tanzania hakuna Mwanamke atamvumilia mwanaume asiye na pesa kisa ni mtaalamu wa mwandiko ubaoni.
Na Bahati nzuri Mungu hakunyimi vyote ukikosa pesa anakupa mguu wa mtoto na nguvu za kiume ila ukiwa na pesa anakupa Kibamia na Nguvu kidogo.
Fanya uchaguzi makini.
Tunataka mapenzi
Jamaa hatriii aisee[emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]elfu 70 mpaka 3000... noma sana