sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 21,039
- 48,152
Aiseeee.....Kweli my love? Lakini hiyo haipo applicable kwako.
Aiseeee.....Kweli my love? Lakini hiyo haipo applicable kwako.
Una mashaka na Mimi? Au wewe unaonaje baba P?Aiseeee.....
Of course nyasi zinatakiwa ziumie haswaa[emoji465] [emoji959]Sitak kupotezeana muda aisee.
Sina mashaka nawewe...nakuamini asilimia 10000000000Una mashaka na Mimi? Au wewe unaonaje baba P?
Asilimia kama zoteeeeeeee.Sina mashaka nawewe...nakuamini asilimia 10000000000
Jamani hata kama siyo vyote angalau abalanceSASA UPATE KILA KITU WE KEKI YA BIRTHDAY JAMANI!
mayai wewe
maziwa wewe
icing sugar wewe
fondant wewe
caramel wewe
vanilla wewe
frosting wewe
AAAAAAAAAAAAAAAAAH!
mambo kugawana shosti!
FAIDI MAGARI ACHA NA WENZIO WAFAIDI MIUNO YA FALLY PUPA!
Jaribuni kubalance.Mimi kuna shem wangu anaitwa espy yeye pesa ndio inamfikisha kileleni.
Sasa nyinyi tuwaeleweje? Ukiwa bize unatafuta pesa lazima nguvu ziishe. Ukitulia kitafuta pesa unapata nguvu,na unakosa pesa
Wasaidiwe tuu hamna namnaUnaridhikaje kitandan mtu anacheza monkey monkey sasa?
Mimi nipo upande wako shem. Sasa shem tutajibalance vipi?? Na vyenyewe havibalansiki ujueJaribuni kubalance.
Namwonea huruma Mengi, lazima Jacklin ana nanilii nje.
Matajiri buana. Sasa kaka shemeji na wewe unasupport ipi.?
Pesa kidogo mapenzi kidogo. Msiwe kama magogoMimi nipo upande wako shem. Sasa shem tutajibalance vipi?? Na vyenyewe havibalansiki ujue
Sawa shemeji. Somo lime eleweka.Pesa kidogo mapenzi kidogo. Msiwe kama magogo
karibu kwa fundi wa mapenzi na mwenye pesaHellow !!!
Hivi wanaume wenye hela mna nini lakini?
Mnapenda kulala kama gogo mwanamke ndiyo ajishughulishe yeye tuu. Kwani nyie hamuwezi kujituma? (Kwenye mapenzi)
Msituchoshe bhana.. Yaani mtu ukiwa na mwanaume wako unachoka kama vile umetoka kulima kwa kujituma tuu, kila saa utasikia baby panda juu [emoji57] [emoji57] na kuanza mpaka sisi tuanze kuwagusa gusa, kuandaa mwanamke hata hadi alainike huo muda hamna mnaamini pesa ni kila kitu.
Kuna msemo "mwanamke nampa kila kitu lakini haridhiki, nimemnunulia nyumba , gari nk lakini bado anacheat" lazima tucheat maana hamturidhishi kimapenzi.
Na wakati nikienda kwa asiye na hela, napata mapenzi kama yotee!! Tangu kufika mtu yupo bize na mimi tuu, ashike hapa ashike kule, aniimbie imbiee hadi raha. Kwa nini nisicheat?
Wanaume wenye kuamini hela zenu ndiyo mapenzi endeleeni. Msiwaridhishe wapenzi wenu nyie wanunulieni magari tuu na nyumba.
Pooovu kama lote !! Ila sijamlenga yeyote humu.
Siku njema.