Ivi ni kiasi gani cha pesa kinatosha katika mapenzi??
Maana najua hata Demu wa Mengi, anaweza kumuacha nakwenda kwa Dangote, wakati huo Dangote anaweza achwa nademu akatimukia kwa Billigate !! Wakat huo huo Billgate naye ataachwa na demu ataenda Kwa kajamaa kamoja ni Kaimbaji maarufu na hakana ela wala nn!!
Ni kiasi gani cha pesa kinatosha ktk mapenzi?? ..mi.nadhan, Ukishakua na kazi yako/biashara, ukawa na nyumba , na usafiri ,Yapasa sasa uongezee maarifa yakua Mapenzi ni zaidi ya Pesa... Tukatae tukubali Akili za wanawake wanazijua wenyewe !!
Mimi sina pesaaaaa, msura wangu mbayaaaaaa kauzu kwelikweli ,, ila Ninavyopendwa na watoto wakali [emoji23][emoji23][emoji23]..utadhani nina Bahati ya Ngekewa!!
On notice , A woman has a form of an ANGEL ,a Heart of a SERPANT and the mind of an ASS. !!
Kama ni pesa?? Zarieth asingemkimbia Ivan ,nakwenda kwa Diamond na bado akaachana na Diamond.. ... Wacha sisi tunaoelewa Akili za wanawake, Tuendelee kujilia[emoji28]