Mwanaume ambaye analalamika kuwa wanawake ni pesa tu... ajiangalie machaguzi ya wanawake anao wataka.
Kama mind yake imesimama kwenye kupata masista duu wa town.. yes lazima uchunwe.. na uchunwe milele...
Kama unatafuta wife wa kuish nae lazima uangalie beyond uzuri. Kumbuka wife utaspend nae maisha yaliyobaki, lakin a hoe utagonga na kuacha.
Mke anahitaji matunzo, si lazima uwe tajiri. Lakin mwanamke charuko anataka pesa muda wote, si za matunzo tu.. mpaka za kuuza sura.. kujidai..
Maamuzi ni yako.. do yoy want a wife or you want a hoe?