Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,646
- 4,489
Ndoa kwanza imara kabisaMke aenda kuzini na kurudi...waona nayo ni ndoa hiyo?.,
Ndoa kwanza imara kabisaMke aenda kuzini na kurudi...waona nayo ni ndoa hiyo?.,
Napenda sana pesa tatizo azinipendi
Pesa inaweza kununua furaha fake mkuuNi kweli pesa ndio jawabu la mambo yote?
Je pesa inaweza kununua furaha?
Na ktk mapenz pesa inachukua nafasi gani? View attachment 793943
Mapenzi ni pesaMapenzi sio pesa ila ikikosekana yanakua yapo njia panda
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ndugu pesa ikikosa mapenz yanaanza kuwa goi goi utaskia unaambiwa u dont care, suprise zinaisha outings, shoppings...
Pesa ina nafasi yake aisee
Kwaiyo tusiyo na pesa hali yetu vipiMapenzi bila pesa ni sawa na smartphone bila bando la Internet.
Bado unaweza cheza game sikilza music ukapiga na kupokea ukafanya mambo kibao still mapenzi ya kweli yapoMapenzi bila pesa ni sawa na smartphone bila bando la Internet.
Uliyempata kama ana mapenzi ya kweli shukuru sana ila ukweli akuna mapenzi ya kweliTusikalili maisha jaman mapenzi ya kweli yapo sana. ...true love inajengwa haiji tu Ivi ivi
Yapo wapi mkuuMapenzi ya kweli bado yapo sana tu
Mwenye ofu ya Mungu unamjua aje kwasababu wanawake wa sasa ata ukamtafute kanisani au msikitini akiamua anakubadilikia tuTafuta wenye hofu ya Mungu na wasio na makuu, utakuta bado yapo moyoni sio mfukoni. Tatizo watu mnakuwa na wapenzi mwenye marafiki wenye kutoka na vibosile simu za gharama sa hapo kwann nae asiingie tamaa