Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Mimi nilimkataa mwanaume mwenye pesa kwa sababu sikumpenda alikua na umri kumzidi baba yangu na alikua anataka tuishi nje ya Tanzania, Pesa si kila kitu kwenye mapenzi. Wa pili pia nilimkataa alikua kibonge ana kitambi kama lemutuz aiseee japo alikua na pesa lakin nilisema No.
 
We have to change our mindset. ...watu weusi Tuna safari ndefu sana
 
Mimi nilimkataa mwanaume mwenye pesa kwa sababu sikumpenda alikua na umri kumzidi baba yangu na alikua anataka tuishi nje ya Tanzania, Pesa si kila kitu kwenye mapenzi. Wa pili pia nilimkataa alikua kibonge ana kitambi kama lemutuz aiseee japo alikua na pesa lakin nilisema No.
Mwanamke cha kwanza anachoangalia kwa mwanaume ni confidence.....hilo ni neno Dogo lakini limebeba mambo mengi sana.......Dhana nzima ya uanaume upo hapa....

Mwanaume mwenye kujitambua katika hili ndio kiongozi hasa wa mwanamke na kila mwanamke atajivunia kuwa naye
 
Wanawake wanasahau kuwa Pesa ni maua na sio kila siku zitakuwepo,,,,kama ukiolewa kwa sababu ya utajiri wa mwanaume pia tegemea kuondoka pesa zitakapopotea,,,,,,(Ladies go for ready made men)
 
Mwanamke cha kwanza anachoangalia kwa mwanaume ni confidence.....hilo ni neno Dogo lakini limebeba mambo mengi sana.......Dhana nzima ya uanaume upo hapa....

Mwanaume mwenye kujitambua katika hili ndio kiongozi hasa wa mwanamke na kila mwanamke atajivunia kuwa naye
Mm nashangaa sana wanavyosema pesa ndo kila kitu, basi matajiri wasingekua wanalia na mapenzi. Nimewaacha hao wote nimemkubali mwanaume mwenye kipato cha kawaida tu. Namshukuru Mungu nina amani, furaha moyoni mwangu na popote niendapo najivunia kua naye. Pesa tunatafuta wote namuomba Mungu atupe mwisho mwema upendo na amani hudumu kwenye familia yetu.
 
Mm nashangaa sana wanavyosema pesa ndo kila kitu, basi matajiri wasingekua wanalia na mapenzi. Nimewaacha hao wote nimemkubali mwanaume mwenye kipato cha kawaida tu. Namshukuru Mungu nina amani, furaha moyoni mwangu na popote niendapo najivunia kua naye. Pesa tunatafuta wote namuomba Mungu atupe mwisho mwema upendo na amani hudumu kwenye familia yetu.
ulifanya uamuzi bora kwenye maisha yako.....

Wengi wapo vifungoni mwa ndoa za watu wenye pesa lakini wengi hawana amani mioyoni mwao......
 
Ukimuuliza msichana swali hili "je ni aina gani ya mwanaume unaependa aje kuwa mumeo wa ndoa?"Atakujibu hivi "napenda mwanaume yeyote nitakaejaaliwa na Mungu, awe anajiheshimu, mwenye kujua thamani yangu na kunithamini, awe na mapenzi ya kweli pia awe mwanaume aliye kamilika kuhusu pesa na mali hayo anajua Mungu"

Huo unaitwa uongo mkamilifu kwa maana hili neno (mwanaume aliyekamilika) wanawake humaanisha kuwa ili uwe mwanaume wa kweli lazima uwe na uwezo wa kutia mimba mtoto wa watu.

Lakini uwezo wa kutia mimba hautoshi kukufanya wewe kuitwa mwanaume, bali uwanaume wako hutokana na pesa uliyonayo. Maana hata mbuzi zinatia mimba, ila kwa kuwa hazimiliki pesa ndio maana hautakuta mbuzi zimeoana.

Vijana wengi hukimbilia kujimarisha katika huduma ya ndoa na kusahau majukumu ya familia.Mwanamke anaposema kuwa anahitaji mwanaume aliye kamilika anakuwa anakudanganya na kukupoteza.

Aminini nawaambia kuwa starehe ya usiku mmoja haiwezi kumfanya mwanamke akavumilia shida kwa miaka mi5. Ila hata kama humridhishi mpenzi wako na una pesa, ataenda kuzini nje ila jioni atarudi ndani kwa ajili ya pesa uliyonayo.

Sifa kuu ya wewe kuitwa mwanaume wa kweli ni uwezo wa kupata pesa basi, maana hawa wanawake wa leo bila pesa hata uwe na nguvu za kuvuta meli ni kazi bure. Kwanini hamjiulizi kuwa mbona siku hizi kuna ndoa za mababu na mabinti wadogo? Sasa wewe kijana shinda sana gym ukijenga mwili ili kumvutia mkeo mtarajiwa, halafu jibu utalipata baadae kuwa ni kipi kinamtuliza mwanamke kati ya pesa na mazoezi yako.

[HASHTAG]#Acheni[/HASHTAG] ujinga,tafuteni pesa#
Mwanamke anampenda mwanaume yeyote yule ambaye ni mtoaji sio lazima mpaka uwe sijui una mafanikio makubwa au tajiri ndo upendwe
 
Unafkiri wanawake mafala wameisha??!!wanaovumilia hata ukiwa hauna pesa??!!kwani wanawake wangapi unawaona wanaishi na masela choka chafu??ukiwafata hawa madem wa kimjin wanaopiga make up sana ndio wanapenda pesa na hawafai kwa matumiz ya nyumbani
Yap, real woman wapo ( Big up sana kwao , nawaheshimu sana) . Wavumiliv na wenye roho nzuri.

Tatizo magugumaji ndio wengi zaidi. Wengi fake life, na kwa bahati mbaya wanaume wengi wamekuwa wakiangukia huko kwenye hao wenye fake life.

Mwanamke feki, hata kauli zake zinakuwa tata na ni mwongo muda wote.
 
Mimi nilimkataa mwanaume mwenye pesa kwa sababu sikumpenda alikua na umri kumzidi baba yangu na alikua anataka tuishi nje ya Tanzania, Pesa si kila kitu kwenye mapenzi. Wa pili pia nilimkataa alikua kibonge ana kitambi kama lemutuz aiseee japo alikua na pesa lakin nilisema No.
Da Lu ww ni mwanamke wa tofauti sana. Huna hata dada ako nioe maana you are so wise.. sio hawa magugumaji wa huku jf (si wote)
 
Mwanaume ambaye analalamika kuwa wanawake ni pesa tu... ajiangalie machaguzi ya wanawake anao wataka.

Kama mind yake imesimama kwenye kupata masista duu wa town.. yes lazima uchunwe.. na uchunwe milele...

Kama unatafuta wife wa kuish nae lazima uangalie beyond uzuri. Kumbuka wife utaspend nae maisha yaliyobaki, lakin a hoe utagonga na kuacha.

Mke anahitaji matunzo, si lazima uwe tajiri. Lakin mwanamke charuko anataka pesa muda wote, si za matunzo tu.. mpaka za kuuza sura.. kujidai..

Maamuzi ni yako.. do yoy want a wife or you want a hoe?
 
Back
Top Bottom