Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Wanawake wa Leo na examination ya kupata mwanaume.
Je wewe ni kibamia? if yes, then, je una hela? if yes, I love you, if no Toka hapa fasta.
Je wewe ni kibamia? if no, je una hela? if no, je una nguvu za kiume Na ustahimilivu kwa Bwana mwingine mwenye fedha wa kunitunza? ukifaulu mtihani unakubaliwa
 
Wanawake wa Leo na examination ya kupata mwanaume.
Je wewe ni kibamia? if yes, then, je una hela? if yes, I love you, if no Toka hapa fasta.
Je wewe ni kibamia? if no, je una hela? if no, je una nguvu za kiume Na ustahimilivu kwa Bwana mwingine mwenye fedha wa kunitunza? ukifaulu mtihani unakubaliwa
Swali ni moja tu wewe una pesa kama jibu ndio mtihani umekwisha na umefaulu
 
Ulianza na Uzi "ukiwasema wanalia" umekuja na " mwanaume kwa mwanamke n pesa" nasubur Uzi unaofuata
 
Sasa wewe unajifahamu pangu pakavu alafu unamfuata mwanamke aliyejipamba na mawigi na makorombwezo mengi ya gharama....weee unadhani hayo mapambo na maintenance zinafanyika bure....!!!?
 
Back
Top Bottom