Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Sio mpaka uombwe wengine wakina sie hata kuomba hatuwezi mwanaume unatakiwa tu ujue wajibu wako narudia tena labda kama uwe hauna pesa lakini kama unazo sio mpaka uombwe mpe tu mpenzi wako pesa
Wanaume hawa vijana hawajui majukumu yao...!!!wamebaki kulalamika tu!!
 
Mapenzi na pesa ni vitu viwili tofauti sana, na matumizi yake yako tofauti sana

Pesa hufanya kukidhi mahitaji yenu tu ambayo siyo lazima yatimizwe na upande mmoja wa wapenzi, haya mambo ya kuwa lazima ahudumiwe mwanamke pekee ni desturi na mila tu ambazo kulingana na uhitaji wa haki sawa kwa jinsia zote ktk nyakati hizi inaondoa kabisa dhana ya mwanamke kuwa tegemezi wa huduma

Huduma huendana na uwezo wenu wahusika, na hili ndio hufanya mapenzi mengi kujifia kifo cha kawaida sababu ya kushindwa kupima kipato na matumizi ya mwenzi wake, hivyo mwanaume kujikuta anabeba mzigo mzito sana moyoni mwake kiasi ambacho inafika mahali anashindwa kuhimili

Mapenzi na pesa ukiyafanya yaendane bila kuyatenganisha basi hapo hakuna upendo ndani yake ila kuna kutumika tu, na siku huna uwezo wa kuhudumia utakimbiwa na kwenda huko ziliko

Mwanamke kama una kipato kikubwa kuliko Mme/mchumba/bwana n.k yanini kuforce lazima huduma zako upate toka kwa huyo mwandani wako! Maisha ya leo ni kutegemeana

Umuhimu wa pesa uko kila nyanja hauiishi kwenye mapenzi pekee yake
Asanteee kaka
 
Hamna huo ni muda wa wazazi kukuhudumia. Au ufanye kazi ya kupata kipato cha kujikimu.

Hivi singles wanahudumiwa na nan?? Au huwa hawana mahitaji???
Ushasema singles....!!! Wa mbili havai moja!!

Kazi nafanya na wewe unipe
 
Sio mpaka uombwe wengine wakina sie hata kuomba hatuwezi mwanaume unatakiwa tu ujue wajibu wako narudia tena labda kama uwe hauna pesa lakini kama unazo sio mpaka uombwe mpe tu mpenzi wako pesa
Shunie wanaume wanaangalia, kuna watubwanastahili kupewa pesa. Yani you dont ask.....

Lakini kuna wadada wanakipato, wanajiweza, au ananjia za kupata pesa. Hawa hawastahili kupewa wala kuomba pesaa
 
Hivi mwanaume wa kweli kabisa anaekupenda kwa dhati atashindwa kukuhudumia mpenzi wake?ukiona hakuhudumii huyo hana mapenzi nakuambia yupo anaempa badala yako.

Na mwanaume mwingine anajisifu kuhongwaaa....!whaaat?!!Tanzania hii!

Mimi siamini katika usawa baina ya me na ke!....
Mwanaume play ur part
Usipende kuwa tegemezi watakumega na kukuacha, muombe panapostahili siyo hadi nguo za ndani au unataka vipodozi au kusafiri uanze kuombaomba utaonekan cheap
 
Sawa hongera we mwenye akili za mbwa na ubarikiwe pia na sisi hatuna haja na wewe
Vimwanamke ambavyo vimezaliwa na kukulia uswahilini huko, vivivu,vijinga na vimasikini ndio huwa vina akili kama hizi zako.

Vinawaza kuolewa ndio njia pekee ya kujitoa kwenye umasikini. Kiukweli wanawake kama nyie mtaolewa na wajinga wenzenu mnaofanana akili.
 
Usipende kuwa tegemezi watakumega na kukuacha, muombe panapostahili siyo hadi nguo za ndani au unataka vipodozi au kusafiri uanze kuombaomba utaonekan cheap
Sasa naomba ili iweje?kwa nini usinipe mwenyewee! Na siombagi ila utanipa mwenyewee kwa kua unanipenda!!!

Sinaga tabia ya kuomba pesa mwanaume hata siku moja ila najua mwanaume anaekupenda atakuhudumia bila kuombwa!
 
Vimwanamke ambavyo vimezaliwa na kukulia uswahilini huko, vivivu,vijinga na vimasikini ndio huwa vina akili kama hizi zako.

Vinawaza kuolewa ndio njia pekee ya kujitoa kwenye umasikini. Kiukweli wanawake kama nyie mtaolewa na wajinga wenzenu mnaofanana akili.
Sawa ahsante!!barikiwa
 
Sasa naomba ili iweje?kwa nini usinipe mwenyewee! Na siombagi ila utanipa mwenyewee kwa kua unanipenda!!!

Sinaga tabia ya kuomba pesa mwanaume hata siku moja ila najua mwanaume anaekupenda atakuhudumia bila kuombwa!
Unapendwa ila jihudumie. Yani nkisha kwambia nakupenda tuu. Yani your mind turn into "" nimepata mtu wa kunihudumia shida zangu"" na sio nimepata mpenzi
 
Back
Top Bottom