Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Ahsante naongezea nyama
Wanaume wengi kweli wa kizazib1980's kuja juu ndo walalamishi kweli kwenye hela!
Mimi ni ke nahitaji kupendeza,kupendwa, kuhudumiwa n.k mzazi wangu part Yake ilishaisha its ur time meenn!!!!

Nipe nikupe mapenzi ya dhati!!nikupende upendeke sio mpk uwe na mamilioni mtoaji hata kwenye laki ya mshahara atampa mpenzi wake 2000 na ataridhika asie mtoaji hata akiwa na Mamilioni ya fedha hakupi Ila atalalamika hana kila siku.

Ndo maana mwatuambia twawafata wazee umri wa baba zetu sio nini...they know what we want,at what time and how to give us!!!!!!na tunatuluzana tuliii papara hatuna

Ninyi endeleeni kututukanaa tuu kua we r gold diggers..

Hatujaanza sisi kuhongwaaa walianza Kina Delila Wa Samson sembuse sie!![emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Kwa akili za kuku kama hizi nyie wanawake wa dunia ya tatu mnipishe tu.
 
[emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] kama kawa....!!!na Bavaria non alcohol si unajua mie sio mnywajii wa vilewesho
Nalifahamu hilo jumapili itapendeza zaidi tutaenda hapo
20180423_175858.jpg
 
Me hata kama sikupendi siombi pesa...kwani baba yangu....kwanza pesa ya kupewa aina thamani.
 
Mapenzi na pesa ni vitu viwili tofauti sana, na matumizi yake yako tofauti sana

Pesa hufanya kukidhi mahitaji yenu tu ambayo siyo lazima yatimizwe na upande mmoja wa wapenzi, haya mambo ya kuwa lazima ahudumiwe mwanamke pekee ni desturi na mila tu ambazo kulingana na uhitaji wa haki sawa kwa jinsia zote ktk nyakati hizi inaondoa kabisa dhana ya mwanamke kuwa tegemezi wa huduma

Huduma huendana na uwezo wenu wahusika, na hili ndio hufanya mapenzi mengi kujifia kifo cha kawaida sababu ya kushindwa kupima kipato na matumizi ya mwenzi wake, hivyo mwanaume kujikuta anabeba mzigo mzito sana moyoni mwake kiasi ambacho inafika mahali anashindwa kuhimili

Mapenzi na pesa ukiyafanya yaendane bila kuyatenganisha basi hapo hakuna upendo ndani yake ila kuna kutumika tu, na siku huna uwezo wa kuhudumia utakimbiwa na kwenda huko ziliko

Mwanamke kama una kipato kikubwa kuliko Mme/mchumba/bwana n.k yanini kuforce lazima huduma zako upate toka kwa huyo mwandani wako! Maisha ya leo ni kutegemeana

Umuhimu wa pesa uko kila nyanja hauiishi kwenye mapenzi pekee yake
 
Mapenzi na pesa ni vitu viwili tofauti sana, na matumizi yake yako tofauti sana

Pesa hufanya kukidhi mahitaji yenu tu ambayo siyo lazima yatimizwe na upande mmoja wa wapenzi, haya mambo ya kuwa lazima ahudumiwe mwanamke pekee ni desturi na mila tu ambazo kulingana na uhitaji wa haki sawa kwa jinsia zote ktk nyakati hizi inaondoa kabisa dhana ya mwanamke kuwa tegemezi wa huduma

Huduma huendana na uwezo wenu wahusika, na hili ndio hufanya mapenzi mengi kujifia kifo cha kawaida sababu ya kushindwa kupima kipato na matumizi ya mwenzi wake, hivyo mwanaume kujikuta anabeba mzigo mzito sana moyoni mwake kiasi ambacho inafika mahali anashindwa kuhimili

Mapenzi na pesa ukiyafanya yaendane bila kuyatenganisha basi hapo hakuna upendo ndani yake ila kuna kutumika tu, na siku huna uwezo wa kuhudumia utakimbiwa na kwenda huko ziliko

Mwanamke kama una kipato kikubwa kuliko Mme/mchumba/bwana n.k yanini kuforce lazima huduma zako upate toka kwa huyo mwandani wako! Maisha ya leo ni kutegemeana

Umuhimu wa pesa uko kila nyanja hauiishi kwenye mapenzi pekee yake
Umenenaaa[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Kwa kipindi hicho kwa sasa usinipe pesa ila nihudumie basi inavyotakiwa tatizo walalamishi mnoo na mwwpenda kujivictimize sanaa
Hamna huo ni muda wa wazazi kukuhudumia. Au ufanye kazi ya kupata kipato cha kujikimu.

Hivi singles wanahudumiwa na nan?? Au huwa hawana mahitaji???
 
Back
Top Bottom