Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Shukuru kwa kuwa hadi sasa ushajua msimamo Wa ligi ukoje.

Kazi kwako, kuendeleza au ujitoe.

Wengine ni mbwembwe za mwanzo tu, unaweza kukuta ni mitego tu ila anakupima imani ya utoaji wako.
 
Achana naye, futa na namba zake, akipiga usijibu simu wala msg akikutumia,
kwenye mitandao ya kijamii mblock, SERIOUSLY and FOREVER!
huyo ni Kupe.
 
Shukuru kwa kuwa hadi sasa ushajua msimamo Wa ligi ukoje.

Kazi kwako, kuendeleza au ujitoe.

Wengine ni mbwembwe za mwanzo tu, unaweza kukuta ni mitego tu ila anakupima imani ya utoaji wako.
hicho sio kipimo nachotaka kujua jamaa kashapewa mzigo kama bado hapo mwanamke ni kama amekuona wakuja
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] futa namba, block namba, ukimuona msalimie kama dada na kaka. Akipiga kwa simu nyingine mwambie biashara na yeye imeshaisha


Yabaki mapenzi tusileteane ujambazi
(Mwana FA)
 
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu dada zangu formula mnayoitumia siku hizi sio mchongo tunapowatongoza huwa mnaanza na mizinga kutaka kufuja pesa zetu kwanza hapa ndipo mnapokoseaga kibaya zaidi mkiombwa utamu mnazingua kutoa
ebu fikirieni upya kwanini yasianze mapenzi ndo pesa ifuate mana inachosha mtu unapigwa mizinga ya kufa mtu na bado demu ataki kutoa mzigo nilikuw nampango wa kumfanyia mambo makubwa zaidi ya vizinga ila mwisho wa siku nimeona ni bora nimwache tu mana mapenzi bila penzi ni urafiki tu
 
Back
Top Bottom