heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,033
- 13,350
Elfu thelasini hahaaaa akasuke nini mota ama nywele nampa buku mbili tu asuke mistari shenziiiUtasikia, baby nipe 30,000/= nikasuke
Elfu thelasini hahaaaa akasuke nini mota ama nywele nampa buku mbili tu asuke mistari shenziiiUtasikia, baby nipe 30,000/= nikasuke
Kwahio huyo wako kakupendea pesa?
Lindi kwemaa mkuu,.haya banaa. .
Lindi wazima lakini. ??
Huyu atakua mvuviSio kweli mkuu wapo wanawake wanapenda aisee utakuwa unabahati mbaya
Sio kweli mkuu wapo wanawake wanapenda aisee utakuwa unabahati mbaya
Utasikia, baby nipe 30,000/= nikasuke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tehe tehe tehe utasikia, baby w/end tutoke tukutane pale pale Kunduchi Beach ila sina hata nauli mpenzi halafu ujue nimekumiss mme wangu!
Walikuwa wanaona unajiweza kiuchumi na hivyo unajimudu. Tunapoongelea pesa si kwamba uumpe mwanamke,kuna vitu vingi mwanamke anaweza faidi hata bila kumpa cash kama vile kula vizuri,kwenda sehemu nzuri za starehe au nyumba nzuri,usafiri wa maana(gari) hivyo vyote unagharamia mwanaume. Sasa usipokuwa navyo atleast 2 .Utakimbiwa sana.Si kila mwanamke anaendekeza pesa.. Kuna wanawake hawaangalii pesa, wanahitaji mtu wa kumpenda,kumjali, kumuheshimu, kumwonyesha upendo n.k!!
Nimeshawahi kuwa na wanawake zaidi ya wawili ambao hela kwao si lolote wala chochote!!
Wataalam tunasemaDunia ya wapi hiyo mkuu mbona huku kwetu hatuko hivyo.
Hivi hii tabia ya kugeneralize mtaacha lini. Yakikukuta mbio unakuja kujumuisha kundi lote.
Si kila mwanamke anaendekeza pesa.. Kuna wanawake hawaangalii pesa, wanahitaji mtu wa kumpenda,kumjali, kumuheshimu, kumwonyesha upendo n.k!!
Nimeshawahi kuwa na wanawake zaidi ya wawili ambao hela kwao si lolote wala chochote!!
Kuna mtu anatoa kwa niaba. Wapo mpka shida fulani zinapogonga na kwa kuwa anajua we Sio Mgawa pesa ataenda kugawa