Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

tatizo wanaume mnafikiri kila mwanamke anataka pesa,nyie ndo chanzo cha wanawake kupenda pesa but ktk mapenz kinacho mata ni upendo wa dhati tu unaweza ukawa na pesa ukawa unahonga sana but usipendwe ata kidogo ukawa unachunwa tuuuu

kua uyaone.....bado dogo wewe
 
kila mara pesa ndio mpango mzima kwenye suala la mapenzi,ingawa sio mara zote pesa ndio kila kitu kewnye mahusiano......
NB; if you think money can buy happyness you 're deadly wrong......
 
Ni haki yako kuhudumiwa na mwanaume wako, siku ukimpata atayekupa mbesa za kutosha alafu akakukaza vizuri ndo utanielewa nachosema.

We huoni diamond kwa sasa wanvojigongesha kisa mbesa.
Wale kwa diamond ni magold digger na wanaosaka umaarufu mbali na hayo wale ni makahaba hakuna anaempenda domo pale zaidi izo cheda zake
 
Back
Top Bottom