Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Mapenzi ni pesa na pesa ni mapenzi, kuna mahusuano mengi yalivunjika, yanavunjika, yanavunjika kwa sababu hali duni ya uchumi, wengine wameshindwa kuwa na wanawake wanaowapenda kwa sababu ya pesa.

Wengine wameshindwa kuwaowa wanawapenda sababu ya pesa. Mwaka fulani nilishindwa kumuowa mwanamke fulani sababu nilikosa mahari ya dola 1500usd waliyokuwa wanahitaji! Hata hao akina Mond wasingekuwa na akina Zari Leo.

Tafuta kwanza pesa mapenzi baadae
 
"Wewe wanakuchuna, Mi wananigaia bure!" RIO LANGA
 
unaweza ukawa na pesa ila usiwe na mapenzi hivyo mapenzi sio pesa...!!!
 
Vanity

Mtazamo wako unaelezea zaidi kukuhusu.

Ukiwe empty kwenye nafsi yako kamwe huwezi jua love.

Na universe itakukutanisha na wanawake wanamna hiyo hiyo.

Hapo ndipo utazidi kudhania unachofikiri ni sahihi.

Ukiwa una vibrate low kamwe huwezi mpata mtu wakukuonyesha upendo.

Na huo mtazamo wako unaanzia pale unapokosa self love.

Usipojipenda kweli kamwe huwezi mpenda mtu mwingine kwa dhati.

Real recognizes real.....sasa kwasababu wewe umeamua kuwa fake basi utawapata wa aina yako.

Love, self respect, happiness, integrity.....money can't buy these vibes
 
Back
Top Bottom