Fstborn
JF-Expert Member
- Nov 27, 2016
- 507
- 527
Haaaaaahaaaaaaaa bi mkubwa kakuchana co unakopikopi tu na kutuletea hku bi mkubwa huwa anasema wahed weeeeee!We ajuza mimi nimekopi mahali...
Haaaaaahaaaaaaaa bi mkubwa kakuchana co unakopikopi tu na kutuletea hku bi mkubwa huwa anasema wahed weeeeee!We ajuza mimi nimekopi mahali...
Jibu swaliiiii co unapanicpanic hp umeyataka mwenyewe hakuna sehemu uliyosema umecopy umejitia shuguli kwamba hyo taarifa source chakii jibu sawali tafadhal!Unanilipa,mbona umekomaa hivyo
Keshaxhanwa na bi mkubwa faiza hko anapanic tu majibu ya msingi hatoi mara oh "nimecopy sehem" mara oh "acha kunifatafata kwani unanilipa"wewe kama nani?
Hapo nimeona neno yesu tu. PoleniOh mukama katonda mulabe omwana waafe ivan.
Omwakile omugyirile embazi omusasile ahalabe yakushobize nebirungyi ebiyakorele abantu waabe. Ahumure aizina rya yesu kristo omwana wawe nyamunegyere. Amina.
Hivi ukikiri kwamba taarifa ni ya uongo utakufa.?Unanilipa,mbona umekomaa hivyo
Bora ulivyomshushua watu bwanaHivi uongo huwa unawasaidia nini?
Hiyo picha na hizo pesa story yake ipo CNN ni mambo ya Mkuu wa ujasusi wa Nigeria.
Hii hapa: Nigeria's spy chief suspended after $43 million seized from apartment - CNN.com
Punguani wahe
Kwa kweli mana hata kwenye mabilionea 1000 jina lake halipoAsante kwa taarifa.. Maana hyo Ivan anavyokuzwa hapana.... Alikuwa na pesa kweli lakin hizo radio mbao ukizisikiza unaweza kujiuliza kuwa huenda ile orodha ya Madon wa dunia badala ya kuandika IVAN SSEMWAGA wakakosea wakaweka ALIKO DANGOTE
Hahaha anahangaika kama amemeza ugali wa motoKeshaxhanwa na bi mkubwa faiza hko anapanic tu majibu ya msingi hatoi mara oh "nimecopy sehem" mara oh "acha kunifatafata kwani unanilipa"
Take it easy miss, msamehe bureUthibitisho je? Ni kweli kwa ivandon
hapana mapenzi ni pesa ..... me sidhani kama ningemuacha ivan kwa kweli
Kuweka pesa yko benki ili iweje halafu wakati wa kwema kuichukua mizungusho kibao huo mshamba kama unajiamin unatunza mwenyewe tuu pesa yko sio lazima watu wajue unapesa benkYe Ivan Alikua Anahifadhi Pesa Ndan Tena Nyingi Kiac Hicho Huo Nao Tuite Ujanja Au Ushamba?
Aisee! Haya mkuu. Nilijua kiganda.kikuwait
kabisa
umemalizia vibaya hapo mwishoni khaa I hate youZari is a huge fan of celebrity lifestyle. Hiyo kitu ilimfanya hadi awe mwanamuziki japo kipaji hana, bado hakuwa celebrity, akahangaika sn kuwa socialite, Ivan hakuweza kumpa celebrity lifestyle. Mwishoe ndio akaangukia kwa Chibu ambae anamtimizia hiyo lifestyle ya kuonekana kwenye kininga na kuzungumzwa kwa media houses. Nasema haya si kwa kukisia, niliwahi kukutana na kupiga story na Dafe Louis ambae alikua ni Manager wa Boss Lady.
Kumbuka Zari hn njaa kabisa kabisa. Miradi yote ya Ivan ana shares zake. Mwisho wa siku kila mtu anaishi maisha yanayompendeza. Pesa ni superglue kwa madem wenye njaa.