Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Hiyo sio muelewa ameshindwa kuna pesa kwenye vitu vyote unavyomnunulia hata ukimpa hard cash itakua hiyo hiyo lawama na kulalama kwingi.

Ingia mitini tu hapo Hamna jinsi.vinginevyo Italia kesho kama sio leo
 
Au vp chukua simu yko mana unaweza ukaumia sn mkiachana afu unamkuta yupo online kwa simu yko.
 
Hyo kakutana na mashoga mapashkuna ya jiji yanamshawishi huo urojo, mweke kikaangoni mpe makavu laivu ukiona haelekei utaamua mwenyew!
 
Nilidhani hata ni wife kumbe demu, mwambie huwezi kumgharamikia na kumtunza. Then kaa utulie, huyo si size yako, wako yupo anaeridhika na mwenye majibu mazuri.
 
Du sku hiz kupata mwanaume anaejituma hata asilmia 40 Ni kaz sasa huyu dada anayake. Mchunguze kiundan yuko kiupendo Au kimaslahi
 
Kwanini uhangaike na mdada anayekutishia kusitisha mapenzi eti kisa humpatii hela anazotaka? Na wewe umeanza kufikiria kuwa umemkosea wakati sio kweli, mwanamke kufikia kukwambia hivyo maana yake hataki mazungumzo ila anataka hela tu, maana angetaka mazungumzo angeomba kuongea na wewe kwa ustaarabu ili kufikia hitimisho zuri, mwambie mapenzi ya shuruti huyawezi aende zake maana ndicho anachotaka. Tafuta hela pia Jitahidi kutafuta type yako.
 
wewe mwambie neno sawa/ahsante alafu kaa kimya usimtafute huyo anatingisha kiberit aone kana kitawaka hata kama unamjal hebu fanya kama vile hakubabaish ili umuone atafanyaje
 
muulize anatakaje yeye .. kama kupewa pesa lakini asikuambie matatizo yake au utatue matatizo yake usimpe pesa... mimi ningetaka kupewa pesa
 
Pole Sana mkuu... Huyo mdada Nadhani hakupendi ndo maana kauli Yake imekua mbaya hivo,...hana shukrani kabisa, kama hawezi ku appreciate Kwa hayo madogo (ila ni makubwa Kwa mimi) basi hata Kwa hayo makubwa pia hatoona kama umefanya ukizingatia pia sisi binadamu nature yetu n kutokuridhika..... Kama angekua anakupenda, kukujali na kuheshimu hisia zako angetumia njia nzuri na busara kufikisha ujumbe wake na usingeumia
Pole Sana mkuu... Mjuage na priorities za wapenzi wenu kwanza inasaidia kuepusha migogoro midogomidogo kwenye mahusiano
 
Mwambie ahsante...then hata huduma ulizokuwa ukimpa(vocha,ges) sitisha mkuu......after 3manth piga chini nyapu nyingi sana mjini hapa
 
Hapo hata huitaji kuumiza kichwa...mwambie tu sawa aende kwa huyo anaewezakumtunza zaidi yako... Huyo takua chuma ulete..kimbia.. Hivi kwani ukiwa na mwanamke ni lazima umpe pesa?? Kama anahitaji pesa aende benki au Sacoss ...
 
Kakupendea kipato huyo alitaka umpe cash halafu na yeye akampe wa ubani wake. piga chini huyo haraka anakutafutia sababu tu
 
Back
Top Bottom