Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Mmmh muulize muhusikaHivi tuko wangapi...
Mmmh muulize muhusikaHivi tuko wangapi...
Atakwambia haelewi kitu
Hahahahahahahahaa....
Heaven Sent ulikuwa sahihi aiseeMko wangapi kwenye nini?
Heaven Sent ulikuwa sahihi aisee
Heaven Sent ulikuwa sahihi aisee
Hahahhaa pole yako bwa shem sijui ba mdogo mwee
Me kimerudi mbona kwa tapatalk lakiniKidude cha like bado hakijarudi tu
Naanzaje kukosa na ndio lugha pekee ninayoielewa?
Toeni pesa bwana shemeji maisha kusaidiana ati, pesa ya mwanaume tamu asikuambie mtu shem
sitakutest kwa vyovyote. cha msingi usiniombe hela tu.Utanijuaje sina hela? Utanitest kwa mizinga?
rubii uliniomba laki ngapi ville hebu nikumbusheeHata ushoga bila pesa hakuna ni kunafikiana tuuu!!
huna pesa tutatokaje mashost kwenda kuswim?
huna pesa tutatunzana nini kwenye birthday zetu??
huna pesa umbea wa mjini tutapeanaje sasa na kutembeleana?
PESA ndo kila kitu buanaa hata kama kidogo ila lazima ziwepo!!! hivyohivyo kwenye mapenzi
rubii uliniomba laki ngapi ville hebu nikumbushee