Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Wanawake sasa ni majambazi wa mapenzi kushinda hata bank robbers, unakuta dem amewapanga wanaume watatu+ na kote anachukua pesa nyingi, huku anachukua hela ya kununua sim, kule anachukua ya ada, kwingine anachukua ya pango la nyumba/hostel, kwingine anadai mama mgonjwa anaomba amtibie, yaani ni ujambazi uliokithiri na kutukuka

Na yote Haya wametusababishia wazee kuhonga watoto wa kike mapesa mengi ili wawapate, sasa madem walipozoeshwa hivyo wanapokutana na kila mwanaume wanadhan ana hela hizo

I condemn this behavior in the strongest terms possible

Nonsense
Kwa nn unakubali kupangea? Sasa unalalamika nn si uende hapo lilipo la bure? Unalazimishwa? Uache basi mapenzi
 
K haiuzwi ila pia haitolewi bure


cc atoto, nyakoo njooni huku muone kulialia hakuishi
 
Last edited by a moderator:
K haiuzwi ila pia haitolewi bure


cc atoto, nyakoo njooni huku muone kulialia hakuishi

Acha waisome namba eeeeeh, yaani nina furaha we acha tu, hao wa kulia lia waendelee tu mie ni mbele kwa mbeleeeeee, msalimie sana nifah ukimuona, mwambie aje anisaidir kumshauri huyu mtoto.
 
Last edited by a moderator:
Sijui. Mimi mwenyewe nipo njiani nampelekea mwanamke pesa. Kakataa nimtumie anataka nimpe kutoka kwenye wallet yangu. #Kudeka#
 
Acha waisome namba eeeeeh, yaani nina furaha we acha tu, hao wa kulia lia waendelee tu mie ni mbele kwa mbeleeeeee, msalimie sana nifah ukimuona, mwambie aje anisaidir kumshauri huyu mtoto.

Hahaaa kuna mtu aliwahi sema ukitaka ya bure katembee na dada yao, loh!!

Ila kwa matokeo haya nahisi best yangu nifah ni wa kupepewa kabisaaaa, anahitaji faraja kwa kweli, pole sana nifah
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa kuna mtu aliwahi sema ukitaka ya bure katembee na dada yao, loh!!

Ila kwa matokeo haya nahisi best yangu nifah ni wa kupepewa kabisaaaa, anahitaji faraja kwa kweli, pole sana nifah

Kibuton kimerudi, teh teh teh, hebu mtafute umpepee tafadhali, mwambie life has to go on, thogh walijaribu, wajipange wajaribu tena next term kwa kubaki ktk misingi wanayoisimamia.
 
Last edited by a moderator:
Kibuton kimerudi, teh teh teh, hebu mtafute umpepee tafadhali, mwambie life has to go on, thogh walijaribu, wajipange wajaribu tena next term kwa kubaki ktk misingi wanayoisimamia.

Kwanza tunawashukuru kwa kutuchangamsha, na tunawakaribisha tena 2020 waje kutuchangamsha tena. Yes wajipange kusimamia ile ile misingi iliyowafanya wajulikane.

Ila kweli ngoja nimtafute bana. Best nifah uko wapi mamiii???
 
Last edited by a moderator:
Aisee sista atoto mi bado kitufe hakijaja bana, au mmeletewa tena nyie watumiaji wa siku tu. Nawaona cute b, Heaven Sent, Diva Beyonce na wengine wanazigonga tu sasa. Mi bado sizioni kwenye PC yangu hapa??!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaa,acha utani bhana ,jf bila Hela huoni hata comment ya Aggy AF et mapenz bure wewe ,tutalala njaa au
 
Ila mi naona all in all kuoa ndo mwisho wa matatizo..yan we ni kuchapa mzigo tu kila siku afu unamwachia hela ya kula na ukirud unakikuta chakula dah yan kuoa raha xana japokua mi mwenyewe sjaoa bado...ila km unatabia ya kutaman madem wengi heh! Utakua hujasolve tatzo
 
cku hizi mpka mke anapatikana kwa toughwallet mana ataanza kukupenda akiona unakitu.....kma huna hamna mapenz wala ndoa wengine walikutana bar kwa ofa z kinywaji n mechi y kulipia....kweli hela ndio kila ki2
 
vilio vya aina hii vimezidi sasa. Mi mwanaume kama hana hela nitamkubali kwa sharti moja: asiniombe hela. maana sijatenga bajeti ya mpenzi. kila mtu ale kwa jasho lake isipokuwa wagonjwa, vikongwe, watoto na walemavu.

Utanijuaje sina hela? Utanitest kwa mizinga?
 
Mkuu, wanawake wana madampo na wewe una mauchafu yako unataka uwamwagie kwenye madampo yao, kwanini usilipie tu??. kumbuka madampo yao yanafanyiwa usafi, yanangarishwa kwa ajili yako n.k. Kuna raha ya kumiliki funiko la shimo la taka, wala huhitaji uchafu uwe mwingi maana mda wowote ukitaka unatupilia.
 
Kibuton kimerudi, teh teh teh, hebu mtafute umpepee tafadhali, mwambie life has to go on, thogh walijaribu, wajipange wajaribu tena next term kwa kubaki ktk misingi wanayoisimamia.
Download Tapatalk application shida hiyo haipo.....
Aisee sista atoto mi bado kitufe hakijaja bana, au mmeletewa tena nyie watumiaji wa siku tu. Nawaona cute b, Heaven Sent, Diva Beyonce na wengine wanazigonga tu sasa. Mi bado sizioni kwenye PC yangu hapa??!!

Teh yani kwangu kibutton kinakuja mara hichoo kimepotea eeh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom