Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Hili neno ushoga hapa limesimama katika maana gani coz kuna namna mbili ya kulitafsiri .
 
unaweza ukawa na hela.alaf ukachapiwa na asiye na hela.cha msingi ukipata demu mtulize kwa shoo za kibabe.mwenyewe atatulia
 
unaweza ukawa na hela.alaf ukachapiwa na asiye na hela.cha msingi ukipata demu mtulize kwa shoo za kibabe.mwenyewe atatulia
Atatulia kwa shoo za kibabe ... Ila Kwenye shoo za pesa atatulia kwa mwingine ama....
 
Kila mtu na atafute pesa....

Ila wanaume pesa zenu tunazihitaji sana. Ongezeni juhudi
 
Atatulia kwa shoo za kibabe ... Ila Kwenye shoo za pesa atatulia kwa mwingine ama....
vinategemeana.wengi wanadhan pesa peke yake ndo dawa ya mapenzi.wakat kuna matajiri wakubwa na pesa zao wanalizwa.
 
vinategemeana.wengi wanadhan pesa peke yake ndo dawa ya mapenzi.wakat kuna matajiri wakubwa na pesa zao wanalizwa.
Wenye pesa wengi wanakuaga wavivu sana Kwenye shoo wakijua pesa Ndo kila kitu itatuliza mtu ndani .... Ndo maana wanachapiwa
 
Hata ushoga bila pesa hakuna ni kunafikiana tuuu!!
huna pesa tutatokaje mashost kwenda kuswim?
huna pesa tutatunzana nini kwenye birthday zetu??
huna pesa umbea wa mjini tutapeanaje sasa na kutembeleana?
PESA ndo kila kitu buanaa hata kama kidogo ila lazima ziwepo!!! hivyohivyo kwenye mapenzi
DADA NADHANI HUJAELEWA. AMEMMANISHA MAPENZI YA JINSIA MOJA(USHOGA) SIO USHOSTI
 
NADHANI MTOA MADA KAMAANISHA MAPENZI YA JINSIA MOJA NA SIO USHOSTI WA AKINA DADA. COZ MASHOGA WAO HAWANA GHARAMA KAMA MADEMU NADHANI NDIO ANA MAANISHA.............MENGINE ATAENDELEA MWENYEWE MTOA MADA
 
DADA NADHANI HUJAELEWA. AMEMMANISHA MAPENZI YA JINSIA MOJA(USHOGA) SIO USHOSTI


Kheeeee! kumbe!
Khahiyo kama mwanaume hana hela ni kufanya mapenzi ya jinsia moja???

Sijaelewa nifafanulie hapa
 
Kheeeee! kumbe!
Khahiyo kama mwanaume hana hela ni kufanya mapenzi ya jinsia moja???

Sijaelewa nifafanulie hapa
yeah ndio maana yake. mashoga hawana gharama m nyie! sana sana atakulipa mnaniliuuu
 
Mmmmh! sasa kulipa sio gharama au
utofauti ni kuwa mwanaume rijali atatumia hela nyingi kumpata/kusex na demu but anaweza asitumie hata shilingi kulala nA SHOGA. Nadhani umenipata
 
Back
Top Bottom