Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

:lol:
Kweli kabisa, na mimi nikaamua kukupenda hivo hivo,
Sie tutaishi tu. Sa ungenidandanya unaishi MASAKI afu uje unipeleke huko kweli.........
Wa kule wengi huwa wanatoswa.


[/QUOT




Lazima watoswe ati kwani hawana ustaarabu,we siku moja simama tu pale mwenge mida ya jioni kisha utizame daladala ya Mbagala ikija ndio utawajua,maana hata kama wapo watano tu lazima waingilie madirishani badala ya mlangoni..:lol::lol::lol:


Ha ha ha, lakini wewe huwa ufanyi hivyo, si eti eeh!!!
 
Last edited by a moderator:
Yaaaani!!!
Alafu eti Fynest anasema ni utani.....sijui nimcharaze kidogo :smash:

Ngoja nikachume fimbo nikuletee Lizzy.
Mi nimeshamuuliza, tuanze kushukuru kwamba Mungu amejibu kwamba yeye sio naniliu mwema.
Na hiyo signature aifute haraka sana?
 
waSilaha kubwa ni uwezo wako wa ku-perform uwapo pale kwenye 6 *6, mengine ni madowido tu wajameni!!!!!!!!!!
 
Ni wewe tu baby,
Usiniache, ukanitia aibu, mi ndo nilishaamua,
Nimechoka, kuhangaika sasa, nataka kutulia.

Tuombe tu, mambo yakae sawa......
Uwiiiiii kabinti unaona hapa umefika.
Mmmmmmh Subiri.
Yakishatimia malengo........
Usinifate fate.................
Usinijue................
Utapiga simu itaita mpaka sikio litauma..............
Dah......................





:lol::lol::lol::lol:Nipokee simu yako ya nini na mimi nilishapata nilichokuwa nakihitaji:lol::lol::lol::lol:
 
:lol::lol::lol::lol:Nipokee simu yako ya nini na mimi nilishapata nilichokuwa nakihitaji:lol::lol::lol::lol:
Kuna jamaa mmoja alimgeuzia kibao dada mmoja baada ya kuwa ameishamaliza haja zake akipiga simu anamwambia kwani wewe una hadhi ya kutembea na mimi
 
Ngoja nikachume fimbo nikuletee Lizzy.
Mi nimeshamuuliza, tuanze kushukuru kwamba Mungu amejibu kwamba yeye sio naniliu mwema.
Na hiyo signature aifute haraka sana?
LD ushindwe na ulegee!!!
 
Kuna jamaa mmoja alimgeuzia kibao dada mmoja baada ya kuwa ameishamaliza haja zake akipiga simu anamwambia kwani wewe una hadhi ya kutembea na mimi




Na mwigine alimwambia ukizidi kunifuatafuata nitakuloga uwashwe miezi sita usiku na mchana..
 
Halafu Uongo Ushindwe na ulegee sio.
Au udumu na uendeleeeeeeeeee!!!!
Uko wapi? Kuna foleni sana leo bwana,
Kumbe uko Kwa Fea way!!!




Kuna swali nimekuuliza lakini ulivyotaka twende wote Unga LTD.
 
Back
Top Bottom