The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
Halafu uzuri ni kuwa nikikudanganya unajua kuwa nakudanganyaHahaha kwahiyo unataka uwe unanidanganya umedinganya sio????
Halafu uzuri ni kuwa nikikudanganya unajua kuwa nakudanganyaHahaha kwahiyo unataka uwe unanidanganya umedinganya sio????
Kuna swali nimekuuliza lakini ulivyotaka twende wote Unga LTD.
Nimekamatwa na trafiki ila usijali nitamalizana nae naenda kituo cha polisi mara moja i guess nitachelewaHalafu Uongo Ushindwe na ulegee sio.
Au udumu na uendeleeeeeeeeee!!!!
Uko wapi? Kuna foleni sana leo bwana,
Kumbe uko Kwa Fea way!!!
Ngoja nikachume fimbo nikuletee Lizzy.
Mi nimeshamuuliza, tuanze kushukuru kwamba Mungu amejibu kwamba yeye sio naniliu mwema.
Na hiyo signature aifute haraka sana?
Njoo ila ulinzi unajitegemea!!!:lol:
Mmmmh!!!
Umeacha ulinzi siku hizi
Bora tujibakilie kwetu Mbagala....
Nimekamatwa na trafiki ila usijali nitamalizana nae naenda kituo cha polisi mara moja i guess nitachelewa
Halafu uzuri ni kuwa nikikudanganya unajua kuwa nakudanganya
Si ndo nashangaa, umeacha lini kunilinda,
Hadi nikabwe lol!!!
Mmmmh!!!
Umeacha ulinzi siku hizi
Bora tujibakilie kwetu Mbagala....
Kabisa, Sasa lizzy, ungetusaidia tukafika unga limited,
Afu tukafanya kumuona Babu atugaie Kinga ya Malaria!!!!
Kuna jamaa alikuwa mtu wa miraba minne ameshiba kwelikweli basi siku akajidai kukatisha mitaa ya Unga LTD,vijana wakamtaimu na ndoo iliyotobolewa pande zote mbili kisha wakamvisha jamaa akashindwa la kijitetea na wakamsachi walivyotaka,sasa mie nitawezea wapi mama bora tuahirishe tu hiyo safari.
Mmmmh!!!
Umeacha ulinzi siku hizi
Bora tujibakilie kwetu Mbagala....
Hehhehe...LD nikilinda watu vibaka wananimaind kwamba nawazibia ridhiki!!!
St PM ina maana wewe huwezi kujilinda???Na ukiwa na LD je???Au yeye ndo anakulinda wewe?
Yani nakua najua kwamba umenidanganya kwamba ulinidanganya kwamba umenidanganya ulivyonidanganya!!!
Mmmmh, nakusikiliza kwa makini aisee!!!
Tuarishe tu. Tutaenda Ukune si ndio eeh!!!
Hehhehe...LD nikilinda watu vibaka wananimaind kwamba nawazibia ridhiki!!!
St PM ina maana wewe huwezi kujilinda???Na ukiwa na LD je???Au yeye ndo anakulinda wewe?
Mh kwa hali ya huko bora niache tu,maana baba yangu mdogo alihamia Unga LTD,basi siku ya kwanza tu ameingia kwenye nyumba majira ya saa moja jioni akatoka kwenda toilet maana ilikuwani ya nje,kumbe jamaa wanamsubiri basi kabla hata hajafika toilet watu wameshachukua vyao zamaniii
Mh kwa hali ya huko bora niache tu,maana baba yangu mdogo alihamia Unga LTD,basi siku ya kwanza tu ameingia kwenye nyumba majira ya saa moja jioni akatoka kwenda toilet maana ilikuwani ya nje,kumbe jamaa wanamsubiri basi kabla hata hajafika toilet watu wameshachukua vyao zamaniii
Hahahahahha...UngaLTD ni noma!!!Yani hakuwezekaniki....ila kama wanakujua wala hawahangaiki na wewe..labda kama una mapozz ndo watakukomesha!
Kwetu Ukune mama hata msamiati wa kibaka hatuujui,karibu basi Ukune
Naomba kuuliza wanajamvi,katika mapenzi ili yadumu na kutopungua thamani mwanaume anatakiwa awe na silaha ipi?Naomba kwa kuanzia niseme tu ninavyoona mimi, naona ni mapenzi ya kweli na kujali hisia za mpenzi wako,nina imani kuna watakaofikiria pesa lakini kwangu mimi pesa ninaona kama hazina faida yoyote katika mapenzi ya kweli kwani tumeshuhudia mapenzi yanapotawaliwa na pesa basi huwa hayadumu hata siku moja.Wana JF naomba tusaidiane..
Wanakuja je huko Ukune!!!
Nichoree ramani.
Ukifika Mbagala Kizuiani unaenda je tena?
Kukudanganya nimekudanganya na ukajua kuwa nimekudanganya ukafurahi nilivyokudanganya kwa kuwa ulielewa nilivyokudanganya ndio maana wote tukaishia:lol::lol::lol: tukijua ilikuwa ni ZE KOMEDIYani nakua najua kwamba umenidanganya kwamba ulinidanganya kwamba umenidanganya ulivyonidanganya!!!