Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Sio wote tunaotaka pesa mimi kama mi binafs nahitaji mapenzi ya dhat kwa vile unajua mi nahitaji kuoga na kuvaa bas lakn siwezi kukupangia
 
Jaman masaada wa mawazo, manzi yangu inataka kila mwisho wa mwezi nimpe pesa je kuna ulazimaa??

Tatizo la wanaume wengi, wakippata mwanamke mwenye mapenzi ya dhati na mwenye kuthamini mapenzi zaidi ya pesa huwa wanawachukuliaje sijui, Wanaenda kuhonga wale wanaothamini pesa zaidi ya mapenzi. sasa hapo ndo tatizo...
 
Hali hii imewakumba wanaume na wanaume wengi kuishia kutapeliwa. Mapenzi ni zawadi kutoka kwa Mungu.
 
Mwanamke atoke kwao hajawahi kulala njaa af aje kwako alale njaa kisa Mapenzi?
 
Hali hii imewakumba wanaume na wanaume wengi kuishia kutapeliwa. Mapenzi ni zawadi kutoka kwa Mungu.

Hatuja kataa lakini unakubali kula shida na mwenzio ukipata pesa unatafuta wakula nae raha,Tumechoka kufujwa tafuteni pesa, mkopo NO...lol
 
binafsi sipendi tabia za wanawake kujali pesa kuliko mapenzi,unakuta mwanamke anakubebesha shida zote utafikiri wewe ndo umemuumba,hakupi mawazo ya kutafuta bali ni kutumia tu,bora kutafuta shugar mamy tu
 
binafsi sipendi tabia za wanawake kujali pesa kuliko mapenzi,unakuta mwanamke anakubebesha shida zote utafikiri wewe ndo umemuumba,hakupi mawazo ya kutafuta bali ni kutumia tu,bora kutafuta shugar mamy tu

hahahahahahahahahahahah! ataly sana,,
 
Wanawake sasa ni majambazi wa mapenzi kushinda hata bank robbers, unakuta dem amewapanga wanaume watatu+ na kote anachukua pesa nyingi, huku anachukua hela ya kununua sim, kule anachukua ya ada, kwingine anachukua ya pango la nyumba/hostel, kwingine anadai mama mgonjwa anaomba amtibie, yaani ni ujambazi uliokithiri na kutukuka

Na yote Haya wametusababishia wazee kuhonga watoto wa kike mapesa mengi ili wawapate, sasa madem walipozoeshwa hivyo wanapokutana na kila mwanaume wanadhan ana hela hizo

I condemn this behavior in the strongest terms possible

Nonsense
 
vilio vya aina hii vimezidi sasa. Mi mwanaume kama hana hela nitamkubali kwa sharti moja: asiniombe hela. maana sijatenga bajeti ya mpenzi. kila mtu ale kwa jasho lake isipokuwa wagonjwa, vikongwe, watoto na walemavu.
 
Anayetafuta mwanaume kwa.kigezo.cha pesa maana yake hiyo ndo thamani yake(her worth)na ananunulika tu kama samaki au ng'ombe.utu wa mtu ni priceless na mapenzi ya kweli hauwezi kununua kwa pesa yoyote ile .
 
Back
Top Bottom