Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,656
Pedi
kinyoleo
pichu
lotion
kusuka
rangi kucha
Kama hawezi kuafford
Kama ni mwanamama anamtegemea mwanaume mpaka hivyo vitu, basi hali ni mbaya, sana.
Pedi
kinyoleo
pichu
lotion
kusuka
rangi kucha
Kama hawezi kuafford
Oooopsssss okay kuna option za bure
atoboe mgomba
atoboe godoro
aweke nzi kwenye kichupa
Kama ni mwanamama anamtegemea mwanaume mpaka hivyo vitu, basi hali ni mbaya, sana.
Kabla sijakufahamisha nijulishe kwanza unatumia ipi hapo?
Oooopsssss okay kuna option za bure
atoboe mgomba
atoboe godoro
aweke nzi kwenye kichupa
Kabla sijakufahamisha nijulishe kwanza unatumia ipi hapo?
Kati ya ulizotaja, hakuna. Nimeshakuwa mtu mzima.
Ni story ndefu, ila kwa kifupi nakumbuka ilikua jumamosi siku hiyo mida ya jioni jioni kuna kibaridiUmeyajulia wapi yote hayo!?
Okay kabla haujawa mtu mzima ulikua unatumia ipi
Pedi
kinyoleo
pichu
lotion
kusuka
rangi kucha
Kama hawezi kuafford
mkuu bifu gani tena.. mapenzi bila hela hayaendiEvelyn Salt Hahahaha nahis una bifu na miss chagga
Jaman masaada wa mawazo, manzi yangu inataka kila mwisho wa mwezi nimpe pesa je kuna ulazimaa??