Kama ni mwanamama anamtegemea mwanaume mpaka hivyo vitu, basi hali ni mbaya, sana.
mpe mwenzio sasa unataka aishi vipi?
Hakuna ulazima nunua sabuni ya "Giv" jero tu mwezi mzima....
nachukia wanaume wachoyo mimiNingeshangaa nisingekuona kwenye hii mada
lakini si unapata utamu ?si bora huyo anataka umpe kila mwisho wa mwezi....wangu anataka tutoke out kila siku..bajeti ni hii:
vinywaji 30,000, chakula 20,000, kununua vitu vinavyopitishwa bar 20,000
usafiri 40,000, hela ya kumpa 50,000 na analaamika ni ndogo, kesho asubuhi tu nirushie vocha 5000 (ole wako umrushie 1000 atakuandika hadi gazetini kwa ubahiri), nina hamu ya supu nitunie 10000 (utadhani jana hukumtoa) . Jumla shilingi 175,000 kila siku, hapo bado hajaja na shoga zake, yaani kama unajenga vile.
Bora changudoa, mkishakubaliana unajipima kama unaweza unalipa biashara imeisha
mapenzi na pesa ni kama mate na ulimimapenzi si pesa ila ikikosekana yananapungua
katika ubora wako. tatizo mnatupukutisha sana ninyimapenzi na pesa ni kama mate na ulimi
Jaman masaada wa mawazo, manzi yangu inataka kila mwisho wa mwezi nimpe pesa je kuna ulazimaa??
ha ha ha raha ya penzi pesakatika ubora wako. tatizo mnatupukutisha sana ninyi
muwe na huruma kidogo basi.ha ha ha raha ya penzi pesa
Hili tatizo nadhani litanikuta Muda sio Mrefu
Pedi
kinyoleo
pichu
lotion
kusuka
rangi kucha
Kama hawezi kuafford
Ivo vitu hapo kabla alikua anapata wapi?
Siyo lazima. Yani sisi wadada tunatia aibu siku hizi. Yani mpaka anakupangia kuwa anataka kila mwisho wa mwezi. Hana wazazi? Kazi? Wewe ndiyo tegemeo lake tu? Wadada tuache hizi tabia sio lazima tupewe hela kaa! Kwanini wadada tunapenda mterezo tu. Tujitegemee jamani! Hebu anzeni hata kuwatoa lunch wapenzi wenu siku moja moja.Jaman masaada wa mawazo, manzi yangu inataka kila mwisho wa mwezi nimpe pesa je kuna ulazimaa??