Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Kaboom ,inawezekana hilo ulisemalo lakini ni kwa njia ya tofauti na fikra za wengi.
Na kama ingekuwa ni njia ya moja kwa moja basi wala wafanyao biashara ya ukahaba wangekuwa ni namba moja ktk kuyafahamu mapenzi ya kweli kwa kuwa wao wanafanya "sx" kama sehemu ya kazi yao ila wanatambua fika kuwa hakuna mapenzi hapo.
SX Inaleta mapenzi ya kweli pale mnapokuwa sasa mnaupendo wa kweli na kila mmoja anaweza kumfikisha mwenzake sehemu husika.
Akili ya binadamu inapokubaliana na matendo fulani ndipo tendo lenyewe hufanyika.
Nakuelewa mkuu..Sema Dhana ya mapenzi ni pana sana..ndo mana watu wanasema mapnz hayana formula...Mi nadhani We fanya ufanyalo cha msingi usiruhusu mapnz ya kutese tu
 
Tabia ya kukatisha tamaa ya kutoa pesa kwa wapenzi wenu humu MMU ife kabsa. narudia tena muache kbs, na mkome
 
Damn those hoz.

You can say that. I prefer tiki taka(keeping the ball and let scoring chances open-up automatically). I never shoot, til I'm 100% sure it's a stunner. Other than that, I'm happy to keep possession. I never chase.
i like that bro..i'm a retired cock..i used to chase ever single hen around back then
 
napenda kucheza kamali ya penzi naweza toa pesa kabla sijakubaliwa sijapata papuchi. Naamini katika ushindani wa mbio, i always take risk .
 
Jaman masaada wa mawazo, manzi yangu inataka kila mwisho wa mwezi nimpe pesa je kuna ulazimaa??
 
Ni kusaidiana tu, unakuta kweli hana pesa na anahitaji kwa vitu vya muhimu! Mapenzi yalianza kabla pesa haijaasisiwa so itakua uvivu wa kufikiri kudhani kua bila pesa hakuna penzi.
Pesa inapokua kigezo basi hapo hakuna mapenzi! Masikini tupo wengi tu na tunapendwa sana na mademu/wake zetu
 
Back
Top Bottom