Usinifokee
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,503
- 3,514
Ahahahahahahahhaahahahhaa ERoni huyo anamstari🤣🤣🤣🤣🤣
Wifi yako kwa nani tena jamani!!! Mimi niko single🤣🤣🤣
Sinyanyuki niueni🤣Utauawa huku ndg yangu tafadhakli ohoo🤣🤣
Mkuu, vitoto vya chuo hata bure sitaki🤣🤣🤣
Brother.
😂😂😂😂Kumbe watu wanaepana ubuyu na hamsemi 😂😂😂
Usifufue mtu wangu😂😂😂😂😂Kumbe watu wanaepana ubuyu na hamsemi 😂😂😂
Kukusumbua inapobidi nitakusumbua sana tu🤣🤣Badae usinisumbue tu 😅😅😅
Khaaah!! Yamekuwa hayo!!🤣🤣🤣Kama kuna yupo amewahi kukutana nami humu anyooshe kidole nimeruhusu.
Mimi mdomo unaniponza.
Pili hata tukionana laivu sijui kutongoza.
Ni jasiri nyuma ya keyboard tu🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Unataka kumuibia mtoto wa watu eeh🤣🤣🤣🤣Una laana wewe🤣🤣🤣
Jf sina mtu ndio maana mabwabwaja.
Ningekua na mtu ningekua mpole sana
Aah ataibiwaje hana macho? Kuna muoaji hapa?🤣🤣🤣Unataka kumuibia mtoto wa watu eeh🤣🤣🤣🤣
Hadanganyikiiiii.
Ishapigwa biti eeeh🤣🤣🤣Brother.
Tumeongea sana utumbo mwingi na tumecheka vya kutosha.
Tubadili upepo sasa kama hutojali.
Haya maandishi yatatucheka kesho ujue
ERoni
National Anthem
Cillah