Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,479
- 176,527
Furushi kama furushi🤣🤣🤣🤣Aah ataibiwaje hana macho? Kuna muoaji hapa?🤣🤣🤣
Furushi kama furushi🤣🤣🤣🤣Aah ataibiwaje hana macho? Kuna muoaji hapa?🤣🤣🤣
Wewe phalla sana ujue🤣🤣🤣Furushi kama furushi🤣🤣🤣🤣
whitehorse 🤣Nasubiri kutajwa huku nikiwasiliana na mwanasheria wangu kwanza 😂😂😂😂
Wewe ni kiroba kabisa🤣Furushi kama furushi🤣🤣🤣🤣
Eh ndio maana humu hakuna Siri Jana nilikuwa Jana busy sikuwa serious nikawareport ila ikaja text inbobo huyu ndio chombo jipya Cha ERoni nikasema kaeni pembeni kazee kawatu kataua mtu nani sophy27 nikasema yule shoga angu kabisa nikaambiwa ndio siwewe umenunuliwa range mpya na kazee ketu Kwa mapenzi mazuri ya kizanzibar kama zuchuu jamani Cillah kanunuliwa Passo halafu jamani alivyomrefu ngoja kiishe hapa hapa 😃😄😄😝😂😂😂😂Kumbe watu wanaepana ubuyu na hamsemi 😂😂😂
Wala eti ubuyu nimepewa kazee Kako kamemuhonga mtu range mpya baada ya ule mkopo mliokopa wote benki wakufungua kile kitu Sasa utafanyaje??Hili lizee litakuja kunitoa roho walah!! Hapendeki.
😂😂😂😂Eh ndio maana humu hakuna Siri Jana nilikuwa Jana busy sikuwa serious nikawareport ila ikaja text inbobo huyu ndio chombo jipya Cha ERoni nikasema kaeni pembeni kazee kawatu kataua mtu nani sophy27 nikasema yule shoga angu kabisa nikaambiwa ndio siwewe umenunuliwa range mpya na kazee ketu Kwa mapenzi mazuri ya kizanzibar kama zuchuu jamani Cillah kanunuliwa Passo halafu jamani alivyomrefu ngoja kiishe hapa hapa 😃😄😄😝
Mimi sijakuelewa ERoni ni profile yake imenichanganya Kwa maana huyo Mzee aliyeko kwenye profile yake namkubaligi kinyama wa isidingoo ila kiuhalisia sijamkubali hata kidogo
Mimi hapa nimekuona google halafu nikakuona kule na yule nicheme au ni nyamazee namjua mtu huku akisikia ulikuwa kulee ataliaje??Kama kuna yupo amewahi kukutana nami humu anyooshe kidole nimeruhusu.
Mimi mdomo unaniponza.
Pili hata tukionana laivu sijui kutongoza.
Ni jasiri nyuma ya keyboard tu🤣🤣
Leo leo mchukue mkuuAsee [mention]Glenn [/mention]lini utanikabidhi [mention]Demi [/mention]?
Leo leo mchukue mkuu

Kabla hujaenda mtext maisa mwambie kile kitu next weekWewe na Cillah shetani anawatumia kuninyima amani...niwaachie li jf lenu?
Maisa ndio nini na wewe mjapani?Kabla hujaenda mtext maisa mwambie kile kitu next week
😬😬😬😬 utalipia tozo kutokana na usumbufuKukusumbua inapobidi nitakusumbua sana tu🤣🤣