Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
Mie wakike mkuu natakiwa kuspoiliwaNa wewe usiwe mchovu, si eti eeh?
Mie wakike mkuu natakiwa kuspoiliwaNa wewe usiwe mchovu, si eti eeh?
Mimi nilizani unatoka na super starMnavyojua tena mwisho wa mwaka, huwa kuna mambo mengi; ata kama ni bahili sana, itabidi kujichanga changa hata kidogo, angalau nawe uweze kusherehekea pale panapo wezekana.
Na sherehe inafana zaidi, pale unapokuwa na kampani au mwenza wako wa karibu.
Kwa upande wangu, mi nitatoka na huyu mdada mrembo matata yumo humu, mwenye sifa zifuatazo; ni mrefu wa wastani, umbo namba nane, mguu wa bia, weupe wa wastani, ana nywele ndefu, aombi sana ela, anaongea kwa staa, na anajua kushukuru hata kwa kile kidogo.
Kwa hisani ya huyo mrembo, atawapungia mkono popote pale ulipo.
Je wewe, utatoka na nani?
Wakati ukiwa unajishauri, pata kiburudisho:-
ivi yule mkongo bado unae , anakupenda sana yule mutu ya kongomHawezi. Kigoma mwisho wa reli ndio hapa.
Ni kajala Nini nilisikia kapata danga itakuwa equation xMimi nilizani unatoka na super star
😂😂😂😂Uchoyo tu, huna lolote.
Walah kazi ipo😂😂😂Simjua hata
Si alinikataa hadharani au?Walah kazi ipo😂😂😂
Aaah!! Hizo alikutishia tu, maana anaachwa kila siku kwa kugonganisha. Aliniambia atakaempata atamtishia ulozi ili aogope kumuacha. Ila hakuna lolote.Sielewi hata dada yangu nahis ameniloga maana kuna siku alisafiri akaenda sumbawanga akarudi na dawa za kufukiza kwnye kachumba ketu kamoja😥
Aaah!! Hizo alikutishia tu, maana anaachwa kila siku kwa kugonganisha. Aliniambia atakaempata atamtishia ulozi ili aogope kumuacha. Ila hakuna lolote.Sielewi hata dada yangu nahis ameniloga maana kuna siku alisafiri akaenda sumbawanga akarudi na dawa za kufukiza kwnye kachumba ketu kamoja😥
Kumbe mie nadanganywa tu 🙆🙆🙆
Sijawahi kuwa na watu wa ajabu ajabu mimi!!ivi yule mkongo bado unae , anakupenda sana yule mutu ya kongom
🤣🤣🤣🤣🤣
Wifi yako kwa nani tena jamani!!! Mimi niko single🤣🤣🤣
Kwahiyo unampenda nani?Si alinikataa hadharani au?
Mpende akupendaye🤣
🤣🤣🤣🤣K....i sana wewe nimecheka sana🤣🤣🤣
Mimi mume wa mtu sitaki mazoea🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Au ni wewe ushabeba chombo? Maana nakuona kila mahali upo🙆🙆🙆