aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,630
- 3,578
Wadau nimeandaa safari ya kwenda kuonana na Rais JMT hata nahitaji nikaonane naye ana kwa ana nifanye naye mazungumzo kama raia wa kawaida kijana mpenda maendeleo.
Watu wengi sana wamekuwa wakienda Ikulu lakini hao ni wale wenye channel.
Je, kwa mimi nisiye na channel ama kujuana na yoyote mkubwa nifanyaje?
Msaada wadau nipo serious.
Watu wengi sana wamekuwa wakienda Ikulu lakini hao ni wale wenye channel.
Je, kwa mimi nisiye na channel ama kujuana na yoyote mkubwa nifanyaje?
Msaada wadau nipo serious.