PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,655
- 15,780
Anzia kwa mjumbe wako wa mtaa, atakutambulisha kwa mwenyekiti wa serikali yako ya mtaa, utaelekezwa kwa mkuu wa wilaya, halafu kama upo mkoani utaelekezwa kwa mkuu wa mkoa na mkuu wako wa mkoa atakupeleka kwa Bashite, yeye ndiye atakukutanisha na Le Prezidaaa