Kila mwanamnke na level yake. Amezoea kutumiwa buku tano ya kula. Wewe umetuma buku 20 ni nyingi sana kwake. Sasa hivi atakuwa busy kumtapeli mwingine akitumia line nyingine ya simu. Hesabu umetoa sadaka.Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.
Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.
Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..
Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.
Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?
Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k
Cc Zero IQ
Ewaaa hapo umenena vyema.Kila mwanamnke na level yake. Amezoea kutumiwa buku tano ya kula. Wewe umetuma buku 20 ni nyingi sana kwake. Sasa hivi atakuwa busy kumtapeli mwingine akitumia line nyingine ya simu. Hesabu umetoa sadaka.
Jamani..! Daah
bulaza ukute hata sio demu mjini hapa...kuna vijana ni SCAMERS kazi yao ni kutafuta watu kama nyinyi huwa hawakosi mpaka laki2 kwa siku
Mimi sijui lakini mpe muda inawezekana amepata tatizo usiwe mwepesi kuhukumuLakini ni sahihi alivyo Fanya bi Dada?
Ile mbona inajulikana kabisa kuwa sio sauti ya kawaidaUnakuta ni njemba linamiliki vile vi tecno ambavyo unaweza kubadilisha sauti inakuwa ya kike
Aiseeee pole sana mkuu tumia namba ngeni mtegee kamtego ule chako 20K parefu usawa huu kuna Papuchi nne ukienda pale kimboka au kama dom pale uhindini za 5K 5K mkuuAmani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.
Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.
Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..
Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.
Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?
Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k
Cc Zero IQ
Mkifika 10 wa hivyo atakuwa ame make 200Khahaha,