Utapeli wa wanawake..

Utapeli wa wanawake..

Tayari kakuachia manyoya inaumaa sana atakama ingekuwa buku pole sana mkuu siku nyingine usiwe boya akikuomba ela ya kula mualike restaurant ya jirani akimaliza kula tu na wewe unaenda kumla.
 
Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.

Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.

Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..

Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.

Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?

Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k




Cc Zero IQ
Hee lakini demu kapata alichokuwa anakihitaji maana shida yake ilikua hiyo 20k tu
kisimachajangwani-20190226-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.

Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.

Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..

Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.

Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?

Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k




Cc Zero IQ
bulaza ukute hata sio demu mjini hapa...kuna vijana ni SCAMERS kazi yao ni kutafuta watu kama nyinyi huwa hawakosi mpaka laki2 kwa siku
 
Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.

Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.

Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..

Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.

Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?

Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k




Cc Zero IQ

Si kashiba, atakucheki akiwa na njaa, kwani hiyo 20k ulikuwa umelipia yeye kupokea simj au umemsaidia kula ndugu?
 
mie kuna 1 baada ya kunikubalia asubuhi ananambia gesi imeisha akala 25, kesho akaleta maneno ya njaa inauma akala 15

kilicho fanya nitoke mbio, ni pale alipo nambia " anaweza hairisha masomo kwa kukosa ada ya muhura ujao" nkaona nsha kua babake wakati hata rangi ya pichu sijaiona

kabaki kupata hela ya vifurushi tu
Alafu huwa wanadanganya na kusahau walichoongea,
Wewe mtu anakwambia yupo nyumbani kwa wazazi na baba ni mkali hawezi kutoka,
Hapohapo anakurupuka kuomba hela ya gesi!!
Yaan Mimi demu akiniomba hela kipumbavu huwa namchunia na kufuta namba!
 
Mkuu watu kama hao unawatumia jiñi makata tu. Huko aliko ataacha ujinga

Unakuta mtu anakimbia kwa hela ya kubadilishia condom kumbe sometimes unataka tu aje mpige story za hapa na pale tu
 
Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.

Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.

Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..

Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.

Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?

Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k




Cc Zero IQ
Hahahaa pole mwaya labda zipo sababu zayeye kushindwa kupokea simu,usitoe hukumu mapema hivyo pengine anaweza kukutafuta tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu BILGERT mbona unapoteza umakini sasa? imekuaje banaa. Sasa wewe wiki tu unataka kwenda kula mzigo kaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom