Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,202
Atakuwa ameshiba hadi kasinzia. Shibe hulevya. Msikilizie tu ataamka.




Atakuwa ameshiba hadi kasinzia. Shibe hulevya. Msikilizie tu ataamka.




Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.
Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.
Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..
Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.
Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?
Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k
Cc Zero IQ
Nimemuhurumia sana mkuuKuku wa kienyeji huyo kazoea kupewa buku mbili na wavaa mlegezoo, sio hapo kajiona mjanjaa... Nishakutana nao sana hao.
Kinachonichekeshaga unakuta mtu kumbe umetoa hata hujaitilia maanani
Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa hio kwel mkuuAtakuwa ameshiba hadi kasinzia. Shibe hulevya. Msikilizie tu ataamka.
Atakuwa ameshiba hadi kasinzia. Shibe hulevya. Msikilizie tu ataamka.
Wewe mwenyewe ulikosea, alivyokuambia sijala ungemwambia njoo tutakaa sehemu utakula na kunywa hapo ungekua ushaondoa mazingira ya kutuma pesa na kutapeliwa.Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.
Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.
Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..
Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.
Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?
Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k
Cc Zero IQ
HahahaAtakuwa ameshiba hadi kasinzia. Shibe hulevya. Msikilizie tu ataamka.
Hahaa umemtoa wapi huyo Chief ...usiniambie kwamba na wewe huwa unachukua mademu wa dating site au facebook maana wadau wanasema kwamba hao ndio wenye hizo tabiaImenishangaza sana mkuu.. Yaan kajiona kawin kwa amount hyo.
HahaMkuu unakuta dem hajawai pata pesa kama hio ndo leo wacha afurahie tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mademu wa Mtandaoni wengi ni Madume wanaweka picha za kike ukiingia kingi ukamtumia imekula kwao utakuja hadithia tuAmani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.
Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.
Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..
Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.
Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?
Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k
Cc Zero IQ
mie kuna 1 baada ya kunikubalia asubuhi ananambia gesi imeisha akala 25, kesho akaleta maneno ya njaa inauma akala 15Msichana akiwa hakutaki hupenda kukukomesha kwa kukuomba hela hovyo ili ujikatae mwenyewe!