Utapeli wa wanawake..

Utapeli wa wanawake..

Kuku wa kienyeji huyo kazoea kupewa buku mbili na wavaa mlegezoo, sio hapo kajiona mjanjaa... Nishakutana nao sana hao.

Kinachonichekeshaga unakuta mtu kumbe umetoa hata hujaitilia maanani
Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.

Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.

Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..

Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.

Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?

Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k




Cc Zero IQ

Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
 
Nikopesheni buku 5 wese linaishia njiani kwny foleni



IMG_7586.JPG
 
Wanawake me sijui nawaonaje yaani wanapenda hela kama nini! Ndo maana me mwanamke akiniomba hela naweza kumtukana kabisa
 
Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.

Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.

Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..

Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.

Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?

Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k




Cc Zero IQ
Wewe mwenyewe ulikosea, alivyokuambia sijala ungemwambia njoo tutakaa sehemu utakula na kunywa hapo ungekua ushaondoa mazingira ya kutuma pesa na kutapeliwa.
 
Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.

Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.

Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..

Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.

Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?

Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k




Cc Zero IQ
Mademu wa Mtandaoni wengi ni Madume wanaweka picha za kike ukiingia kingi ukamtumia imekula kwao utakuja hadithia tu
 
Msichana akiwa hakutaki hupenda kukukomesha kwa kukuomba hela hovyo ili ujikatae mwenyewe!
mie kuna 1 baada ya kunikubalia asubuhi ananambia gesi imeisha akala 25, kesho akaleta maneno ya njaa inauma akala 15

kilicho fanya nitoke mbio, ni pale alipo nambia " anaweza hairisha masomo kwa kukosa ada ya muhura ujao" nkaona nsha kua babake wakati hata rangi ya pichu sijaiona

kabaki kupata hela ya vifurushi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom