Utapeli wa wanawake..

BILGERT

JF-Expert Member
Feb 27, 2015
6,535
10,974
Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.

Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.

Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..

Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.

Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?

Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k




Cc Zero IQ
 
Mkuu, leo jf imevamiwa na threads nyingi za kusutana tu....tehteehh
FB_IMG_1552328581505.jpg
 
Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.

Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.

Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..

Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.

Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?

Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k




Cc Zero IQ
Muda si mrefu utaanzishiwa thread...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom