BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,535
- 10,974
Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.
Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.
Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..
Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.
Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?
Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k
Cc Zero IQ
Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.
Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..
Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.
Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?
Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k
Cc Zero IQ